UWEPO WAKO KILA SEHEMU.
Je wajua hili.
Wajua kuwa wewe upo Kila mahali?.
Kuna msemo huwa unasema kuwa ULIPO, NIPO!
Wewe upo Tanzania, upo Ameri, upo Asia, upo Sayari mbalimbali, upo kwenye Kila Galaxy na upo mahali pote.
Kinachokufanya ujione mnyonge ni hako kamwili.
Kuna kauwezo Fulani...
📣📣📣📣📣📣📣📣📣📣
HASARA ZA KUPIGA PUNYETO KIROHO
🗣️Amani kwenu wakuu. Leo tutaongelea hatari inayomkabili mpiga punyeto kiroho. Ni ukweli usiopingika kwamba asilimia kubwa ya vijana na wazazi wa kileo wamejiingiza kwa nguvu kwenye utamaduni huu mchafu na hatari. Kwa nini nasema ni hatari...
UKWELI[emoji118] ULIOFICHWA[emoji118]
Dunia hii haijawahi kuwa na maana Zaidi ya Ubadhilifu, Upumbavu uliokithiri, jinsi mifumo inavyowafanya watu kuwa Kama mashine, na huo muendelezo wa hayo matukio unaojirudia, ukajenga mazoea yaliyojenga tabia na ndiyo ukapewa jina na kuitwa maisha.
Wala...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.