Heshima yenu wakuu, Nafaham kuwa PREP ni vidonge anavokunywa mtu ili vimlinde kupata maambukizi ya virusi vya ukimwi, mf, unataka ukakutane na mtu ambae haumuamini, inafanya kazi kama condom.
Wakati PEP ni vidonge anavopewa mtu baada ya kukutana kimwili au kufanya ngono zembe na mtu ambae...
Naitwa x,natokea mkoa x, kwanza kabla ya yoye nipende kuishukuru jamii forum, kiukweli mimi binafsi imenisaidia sana kupitia kuomba ushauri mbalimbali,
Najua kunabaadhi ya watu watanitukana kutokana na hiki kisa changu,kutukana ni ruksa kwani mimi pia baada ya kuamka kwenye usingizi mzito...
Natumai wote ni wazima wa afya, naomba mwenye kujua wapi ntapata maroba ya kuanzia debe sita kwa bei ya jumla, na kama kuna mtu anajua bei ya jumla yanauzwa shs ngapi.
Poleni na majukumu jamani, nisiwachoshe naombeni, naishi kwenye nyumba ambayo nilinunua miaka mitatu iliyopita, Sasa leo katika kufanya usafi na jembe niliona kama ndala pembeni ya ngazi za mlango
Katika kuchimba niitoe ile ndala nikaona kitu kimefungwa na kitambaa cheusi, ndani kukawa na...
Naandika hapa huku machozi yakinitoka, nimeona niwashirikishe ndugu zangu labda ntapata faraja.
Ni wiki sasa nimejifungia ndani hata kazini siendi. Story iko hivi kwa kufupisha sana nisiwachoshe, mimi ni kijana nnaeishi na mwanamke na tumejaliwa kupata mtoto mmoja wa kike mwenye umri wa mwaka...
Poleni na majukumu ya Kila siku, nimekuja kuomba ushauri hapa Jamii Forums sababu naamini humu kuna watu wenye uzoefu au washawahi kutokewa na scenario kama hii.
Nisiwachoshe, mimi ni kijana wa miaka 34, baada ya kuona umri unasogea halafu sipati mtu ambae ninampenda, nilizoeana na binti ambae...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.