Search results

  1. Northpole

    Mwanangu anashindwa kutumia common sense?? Hii ni shida gani?

    In short wewe sio mzazi smart bali ni bora mzazi na una mentality za dark ages.
  2. Northpole

    Mwandani wangu hajivunii kua na mimi, ni kama anaona sio type yake

    Tafuta hela kwa bidii afu tafuta pisi kali kuliko yeye uiweke kuwa mke wa pili.
  3. Northpole

    Ufafanuzi kuhusu kikokotoo cha mafao ya kustaafu

    Kama wewe ulishindwa kuhandle pesa zako ni wewe, usigenerelize.
  4. Northpole

    Ufafanuzi kuhusu kikokotoo cha mafao ya kustaafu

    Una uhakika gani ana warithi na kama anao umejuaje anataka kuwaachia urithi wa fedha. Hicho kikokotoo kwanini hakiwahusu wabunge na mawaziri au wenyewe wanaishi milele
  5. Northpole

    Ufafanuzi kuhusu kikokotoo cha mafao ya kustaafu

    Msilete huruma hewa. Watu wapewe fedha zao zote. Atakaechezea ataishi kama wazee wengine ambao hawakuwaikuwa kwenye mfumo wa ajira.
  6. Northpole

    Nilimuoa kwa huruma ya mimba, moto unazidi kuwaka ndani

    Madhara ya kuwa na mwanamke mmoja.
  7. Northpole

    Ukiwa na chini ya milioni 100 ni heri uiweke fixed account, Kujenga nyumba ya kukodisha ni ngumu kupiga hatua

    Kuweka karibu milioni 100 kwenye fxed account na kuishia kupata milion 7 kwa mwaka ni uvivu ama uoga wa kuwekeza hiyo pesa. Kuna mizunguko ukiiweka hiyo milioni 100 kwa mwaka unakua umefunga milioni 300+. Kujenga nyumba ya kupangisha ni biashara za wastaafu na waoga wa kuchukua risk.
  8. Northpole

    Vijana wa siku hizi ni wavivu na wanachagua kazi

    Kazi za kuchosha mwili na akili kwa maslahi ya dàgaa watu wameshaachana nazo, hakuna mtu anayekataa kazi ikiwa na maslahi. Tatizo mnaotoa kazi mnapenda kunyonya watu kwa kisingizio unafundisha kazi na blahblah zingine za kinyonyaji.
  9. Northpole

    Tatizo la Overproduction; Where do we Go From Here..... (A Chinese Case Study)

    Soko la bidhaa za china ni kubwa sana especially ulimwengu wa tatu, hiyo overproduction ya china ni propaganda za west
  10. Northpole

    Tujifunze kwa Uturuki tusiwe mazombi jamani

    Nyie kila siku kujifunza kwa wengine, ni lini wengine watajifunza kwenu? Nina uhakika hata hizo akili za kujifunza hamna.
  11. Northpole

    Musukuma: Kikokotoo cha 33% kitazalisha Watumishi wezi, hawatajli tena kazi

    Watumishi 80% ni wezi, wazembe , wanafiki, waoga ndo maana nchi haipigi hatua. Kwa sifa zao hizo hata hiyo 33% wasipewe .
  12. Northpole

    Tunaiomba serikali utatuzi wa changamoto ya Daraja Lililopo Tabata Mwananchi/Kisiwani

    Ifikie mahali watanzani tuache kulialia na kauli za tunaiomba serikali ili hali Serikali iliyopo imeshindwa kuongoza nchi alafu tena unaendelea kuiomba. Muhimu tuje na mbadala mwingine wa kuweza kutatua matatizo yetu ya ujinga na umaskini.
  13. Northpole

    Nyie watanzania ni lini mtaacha tabia zenu za kibaguzi dhidi ya wahitimu ya digiriiii?

    Barchelor of art in history, hiyo ndo degree ya ngoni migration.
  14. Northpole

    Nyie watanzania ni lini mtaacha tabia zenu za kibaguzi dhidi ya wahitimu ya digiriiii?

    Tatizo lenu ni Wsomi Pasipo Elimu, kazi yenu kufata bendera.
  15. Northpole

    Nyie watanzania ni lini mtaacha tabia zenu za kibaguzi dhidi ya wahitimu ya digiriiii?

    Ndo kukariri kwenyewe huko. Uandaliwe kufanya jambo fulani umekua roboti wewe na kama msomi huwezikutenda tofauti na asiyesoma kwa kutumia resource ileile hiyo elimu ni batili.
  16. Northpole

    Nyie watanzania ni lini mtaacha tabia zenu za kibaguzi dhidi ya wahitimu ya digiriiii?

    Hizo ni kauli za kulalamika na ulalamishi ni udhaifu wa akili. Kubadili mfumo sio lazima uwe ndani ya mfumo hata ukiwa nje. Nyie wahitimu jobless jumlisha wale wanaolipwa mishahara ya dagaa ni wengi sana ukilinganisha na wale wanaoendesha mfumo. Mnashindwa nini kuungana kuharibu na kutokomeza...
Back
Top Bottom