Search results

  1. M

    Sijui kwanini nimeumia hivi

    Pole sana kwa kile kilichotolea , muombe Mungu akusaidie umsamehe rafiki yako ila kingine jisemeashe moyoni kwamba umefanya kwa ajili ya Bwana na sio kwa ajili yake ili upate baraka za Mungu na kuponya moyo wako na maisha yataendelea
  2. M

    Maandalizi yako kipimo cha Mafanikio yako

    Utangulizi Maandalizi magumu Mafanikio makubwa, nikiwa nasoma habari kadhaa kwenye maandiko matakatifu nikajua kweli maandalizi magumu Yana Mafanikio makubwa Ushuhuda wa kwanza Habari ya Sporah binti WA kuhani wa midiana ,huyu Dada katika ujana wake alikutana na changamoto nyingi Sana katika...
  3. M

    Usiache kazi Kwa sababu unataka kumtumukia Mungu

    Utangulizi Mara ya Kwanza mkristo unapopata Neema ya kuhokoka , Roho Mtakatifu anaingia ndani yako na pale anapoingia ndani yako kuna kiu ya kutaka kumjua Mungu Sana inaingia ndani yako Unakuwa na kiu kubwa Sana ya kumjua Mungu na wengine Kwa kukosa msaada wanajikuta wameingia kwenye njia...
  4. M

    Ukitegemee kupata connection za Wanadamu

    Omba Mungu akupe hatua za kuchukua na watu wakutembea nao sio kila njia ni Sawa Ila usikae Tu, jitafute Kwa Bwana
  5. M

    Fanya Mambo aya kabla ya usahili

    Utangulizi Idadi ya watu ambao wanaomba kazi , kila mwaka imekuwa ikiongezeka mwaka Kwa mwaka , na kila mwaka vyuo vinatoa wataalamu WA Aina mbalimbali Watu wengi awajui kwamba nafasi ya ajira ni fursa ya Mungu au miungu kutawala ofisi usika, umewai kusoma habari za Daniel , alipoitwa...
  6. M

    Ukitegemee kupata connection za Wanadamu

    Utangulizi Katika jamii Yetu ni kweli sio rahisi ukafanikiwa pasipo kupata MTU WA kukushika mkono, lakini ni kosa kubwa Sana la kuweka tumaini Kwa Mwanadamu Ni kweli tunategemeana na tunapaswa kuishi Kwa kueshimiana na kumwona mwenzako ni Bora kama wewe na vitu kama hivyo Lakini katika Mambo...
  7. M

    Mwanangu wa kiume miaka 4 lakini haongei ni kupiga makelele tu

    Kweli kabsa madakari wanatibu lakini Mungu ushauri wako umejaa madini tupu
  8. M

    Ushauri: Nimejaribu kujiua imeshindikana. Naomba ushauri wa kuondokana na kukata tamaa

    Pole Sana Kwa changamoto unazozipitia, tenga Muda wako nenda Kwa Kiongozi wako WA dini ukamueleze yote na Mungu atakusaidie, Tumia nafasi kuongea na watu wazima wamepitia mengi la kwako linaweza kuwa dogo Sana Ila Kwa sababu imekaa nalo unaona ni kubwa omba Mungu akupe watu wakuwashirikisha...
  9. M

    Sifa za kuoa au kuolewa

    Utangulizi Nimekua nikisoma habari mbalimbali katika mitandao ya kijamii, katika Jambo ambalo linanipa maswali ni mabadiliko ya vigezo vya kuoa au kuolewa Wakati nikiwa kijana mdogo kuna maswali yalinisumbua sana, mana mtaa ambao nilikuwa naishi ulikuwa na nyumba za watumishi WA umma (magorofa...
  10. M

    Mungu husema na Watu

    Utangulizi Miaka 12 iliyopita wakati nikiwa shuleni Niko kwenye sehemu ya chakula najiandaa Kwa ajili ya ibada ya jioni , Kwa mara ya Kwanza nilimskia Mungu akisema Nami wazi wazi kwakweli nilishangaa Sana, Mungu alisema Nami juu ya tukio ambalo liko mbele yangu. Nakumbuka katika ibada hiyo...
  11. M

    Mambo ya Kuepuka Mwaka 2024

    Sio kila Neno ambalo unaambiwa na Mtumishi au rafiki yako limetoka Kwa Mungu Utangulizi Watu wengi duniani Kwa sababu ya kusikiliza maneno ya watu wamepoteza kesho Yao na wengine wamepoteza Maisha Yao kabsa Sio kwamba kusikiliza ushauri wa watu ni Vibaya , hapana sio kila ushauri unaopokea...
  12. M

    Mambo ya kuhepuka Mwaka 2024

    Shukrani nitazingatia kwakweli
  13. M

    Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya yatoa mafunzo kwa Maafisa waelimishaji wa (TAKUKURU) wa Wilaya zote Nchini

    Kwakweli ni Jambo zuri la kupeana maarifa naamini kitendo hiki kitawajengea uwezo maafisa uelimishaji katika kutoa elimu Kwa jamii.
  14. M

    Naota nafanya mapenzi

    Pole Sana Kwa changamoto unayopitia mtafute Kiongozi wako WA dini atakufanyia maombi na hiyo aliitakwisha ,unaitaji msaada WA Mungu Kwa ajili ya Jambo ili
  15. M

    Kinachozuia watu kufikia Mafanikio yao

    Ni Kwa Neema ya Mungu tunapewa Neema ya kusema maneno ya Mungu
  16. M

    Msaada wana JF wenzangu, nina msongo wa mawazo

    Pole Sana Kwa changamoto , tatizo sio kwamba Unamikosi tatizo umefanya biashara ambayo hauna uzoefu nayo ndo maana imekufa cha kufanya omba msamaha Kwa wazazi na ongea nao juu ya uwezo wako ili kama wanaweza kukusaidia kupata mtaji mwingine, usijaribu kufanya biashara ambayo hauna ujuzi nayo...
  17. M

    Huyu ndugu yangu alinidharau nimemsamehe bila kumwambia ila kwenda kwake naona hata uvivu

    Pole Sana Kwa changamoto ambayo umekutana nayo, cha Msingi Kwanza msamehe Sawa Sawa na maandiko matakatifu tusipowasamehe wengine Mungu atatusamehe , kusamehe kuna Jenga ndani yako na Moyo wako unakuwa na Amani na watu wote , hakikisha unakuwa na Amani juu yake hii itakusaidia , kingine...
Back
Top Bottom