Ibraah ft harmonize #DHARAU
mungu aliyenipa ukilema hawezi ninyima mwendo,
na sikupanga ila imenibidi kulivua pendo,
maana mwanzo nilidhani utabdilika,
of course hakuna aliyekamilika,
masaa, masiku miaka imekatika,
nachukia kujiona nikilalamika,
bora ugali dagaa kwenye amani kuliko wali nyama...
ah hela zinatafutwa.... ila mume na mtoto majaaliwa...nafikiri umenielewa.....
kama sijajibu vizuri ngoja waje kukupa muongozo
Adam Clark tia neno hapa
vodacom umekuwa mtandao wa kijinga sana...jana nimetuma pesa lakini eti haijafika nilikotuma nawapigia eti wananipa masaa 48......sasa huu si upuuzi jamanii....bora nirudi tigo
Ama kweli ina watu wa hovyo nchi hii, nawe u miongoni mwa watu wa hovyo, nimethubisha hili. Laiti usingekuwa mtu wa hovyo kwenye maswali yote aliyouliza umeliona hilo tu?
nina kuuliza maswali matatu...
swali la kwanza, nini maana ya uzalendo?
swali la pili kati ya marekani ni tanzania unaipenda nchi gani?
Swali tatu, Ukiambiwa uishi tanzania na marekani utachagua nchi gani?
Nabashiri majibu yako.
1. sijui
2. marekani
3.marekani
kama majibu yako ni hivyo, basi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.