Uyu dem unaye muongelea mbona kama namfahamu lakini mimi nilipo kutana nae aliambia ukweli kua amewaka Megawatt nikasepa mbio mbio 😂😂 na sasa hivi amesha ingia kwenye system ya Tamisemi yuko mkoa fulani hivi
Sasa kama una macho yako ya rohoni huku umefuata nini si umalize kazi na macho yako ya rohoni ayo umuoe uyo malaya aliye achika mara kadhaa ili na wewe upate fundisho
Ndio ivyo mkuu me mwenyewe zamani nilikuwa nawahurumia lakini baada ya kuwajua vizuri yani ata nikute mwanamke na katoto anaiombe ata 100 simpi kwanza lazima anakua ameshamtukana sana mwanamume huko aliko zalishwa kwaio ni jukumu lake kurudi huko akaonyeshe nidhamu kwanza
Una matatizo ya akili wewe yani akili yako inajua wanaokufa ni wanaume tu si ndio bila shaka wewe ni mchawi na ndio maana jamaa amekupiga chini hufai kabisa unawaza wanaume wafe tu na inaonekana wewe ni mjita au una chembe ya ujita kichwani mwako.
Safi kabisa nafrai kusikia wanawake wakiteseka maana ni viumbe vya ajabu sana hasa hasa ma single mother ni viumbe vya hovyo sana vijana hakuna kuoa ni mwendo wa kupiga na kusepa ukioa inakula kwako.
Sio sahihi kabisa kwasababu mwisho wake unakuaga mbaya sana mmoja wao akizidisha kwa mfano kuna mwanamke aliwai kuachana na mumewe sasa kwenye kujibizana aliwai kumtukana mumewe ambaye ni mlinzi kwamba ww huna lolote bwege tu nenda kalale getin uko aisee io kauli ilimuuma sana uyo jamaa kwaio...
Jamii Forum bana inaonekana ni mtandao wa wambea wambea yani kila mtu akileta thread basi ujue kaambiwa na mtu uo kama sio umbea ni nini 😂😂😂 ifike hatua watu muwe wawazi sema tu ni wewe ndio umeliwa na Baba mkwe yaishe
Fanya unavyotaka wewe mwenyewe lakini siku ukirudi hapa unalia lia hatukupokei kwasababu umesha nasa tayari ushauri wenyewe unaomba lakini hapo hapo tena unajipa majibu ya kukufariji wewe mwenyewe ila shauri yako kila la kheri. 😂
Umesema ukweli mtupu ata mimi naona hivyo hivyo kwasababu mwanaume aliye kamilika na akili zake timamu anaanzaje kuoa limwanamke limeshindikana huko lilipo toka
😂😂😂 Pole sana inaonekana wewe ulishawai kulea mtoto sio wako sasa io Trauma ime athiri mfumo wako wa kufikiri usizani kila jambo la hivi eti anakua sio mkuu alafu DNA nilitumia ya asili kabisa kwaio ondoa shaka
Umepotea pakubwa sana sema ni vile hujaelewa swali ningependa ujibu swali husika na sio kuongea kuhusu mambo ya kufikiria kwasababu hakuna unacho kijua ndugu mtoto unazani angekua sio wangu mwanamke angehangaika ata kunitafuta anipe io taarifa ya vitisho sasa ila jua tu mtoto ni wangu ila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.