Lugha unayotumia inaonyesha ni jinsi gani wewe pia ni zezeta.teaching is a professional.kuna baadhi ya walimu wasiochapa katika maeneo husika na wakati mwingine kuvuka mipaka lakini heshima ya mwalimu Iko pale pale.inawezekana hutambui kwasababu huna ulichofaidika kwakuwa sijui elimu Yako lakini...
Ninachokicchukia na kisichopendeza Kwa Tanzania Kwa Sasa kuwa na waongo wengi kwenye mitandao hasa tweet vijana wa hovyo wamekuwa wakidanganya na kupeleka sintofahamu Kwa jamii.TCRA kazi imewashinda.hivi ni vitu vingapi vya America tunakula na kunywa? Anyway kuhusu hili Kuna mtu wakuanza nae...
Habari madokta wa jamii.leo naomba kusaidia jambo Nina rafiki angu anaumwa sana fungus.
Imeanza miaka mitatu iliyopita,ulianzia kwenye korodani na Sasa Iko kwenye njia ya mkojo. Ametumia dawa nyingi sana na mbaya zaidi madaktari wamekuwa wengi na wamempa dawa nyingi na masindano ya kutosha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.