Search results

  1. M

    Sakata la Christina Shusho limenifunza mambo makuu 4

    NILICHOJIFUNZA KWA CHRITINA Nimejifunza mambo haya kwenye hili 1. MAAMUZI SAHIHI AMEYAFANYA WAKATI USIO SAHIHI yapo maamuzi yanaweza kuwa sahihi ila yakafanyika wakati usio smawil Maamuzi sahihi yakifanyika wakati usio sahihi huwa yanaonekana si sahihi kwasababu yako nje ya wakati uliopaswa...
  2. M

    Vyakula/matunda na tiba zake special thread

    Majani ya mti wa mpera ni dawa nzuri sana kwa tumbo ,hapa kwangu natumia hiyo yeyote atakaesema tumbo basi namchumia na kumchemshia dakika tano nyingi linakuwa limekata
  3. M

    Uzinzi umeharibu maisha ya familia yetu

    Ingia kwenye maombi hilo ni pepo la uzi zi mlilotupiwa ili msiendelee km upo chuo usijihusishe kabisa na masuala ya mape zi utaishia njiani
  4. M

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Kweli hayo uyasemayo?
  5. M

    JamiiForums Usiku wa manane

    Hahaa
  6. M

    Shinyanga Mjini ni kelele tu za bodaboda zilizotobolewa exhaust

    Hivi wanatoa hizo exoskeleton lengo ni ninni? Huwa nashindwa kelewa
  7. M

    Leo tuwatambue Wanyakyusa kwa majina yao

    Gwamaka....wa nguvu Ipyana...wa Neema Tumwitike Ngajhebhule Lusajo Bhumi Ikupa Ikwisa Sekela Nsajigwa Tusajhe Nobhwike Ndighwako Nsubhisi
  8. M

    Ladies Talk: Kufuatia kisa cha Mbuta Nanga

    Vijana wengi wa siku hizi hawataki kujishughulisha wanasubiri walishwe tu ,Mungu atusaidie sisi wenye watoto wa kiume ,so sad
  9. M

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Hapo chuchu tu zinawatoa udenda hahaaa wanaume bwana
  10. M

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Umalaya ukizidi atolewe tu mfyuuu
  11. M

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Uonezi huo sasa
  12. M

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

    😁😆😆😆
Back
Top Bottom