Naamini MUNGU yupo, lakini huko makanisani, mhhh!! Michango kila kukicha, mahubiri mengi mifano yake ni suala la kujitoa kifedha.
Matangazo ya michango ni mengi kuliko mahubiri.
Mimi ni kanisa sasa nasali mwenyewe na MUNGU aliye sirini ananisikia Amen![emoji120]
Kwa mimi niliyezaliwa 2002, sikupata nafasi ya kuona awamu nyingine nikiwa kidogo najielewa kama awamu ya Tano.
Hivyo, JPM alipendwa zaidi kwa awamu yake ukilinganisha na awamu hii.
Limekaa kijanja kijanja sana, hata mimi nilipo liona ikabidi nitafute vyanzo vya kuaminika lakini sikuona, lakini ni ukweli lipo.
Hii nchi [emoji28][emoji28]🫡[emoji119]
Ungependa zaidi hiyo njia wangeiepuka, maana ni wazi Rushwa zitatengenezwa huko.
Nitapata uhakika gani kama kweli Mtendaji ataipeleka barua halmashauri [emoji848][emoji848]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.