Search results

  1. K

    Mitihani yanayoyotungwa na halmashauri hawazingatii mtaala

    Labda huyu mlalamishi hajui kuwa kwa sasa primary level ni mwisho darasa la sita. Hivyo si lazima adjustment ifanyike ili vile vya Hadi darasa la Saba view covered mwisho darasa la sita.
  2. K

    Antony Mtaka: Hawa Ma DC Wanafanya Ziara za Kutatua Kero za Wananchi Kijiji Kwa Kijiji, Hawana TV tuu

    Mwaka 2021 Eng. Robert akiwa mkuu wa mkoa wa Geita, alipita shule zote za msingi na sekondari ila hakuwa na ma TV.
  3. K

    Video: Maiti yapambana na wanakijiji ikiwa ndani ya Jeneza ikigoma kuzikwa

    Imenikumbusha miezi miwili iliyopita katika Kijiji chetu.
  4. K

    Wazo: Serikali iruhusu kilimo cha bangi chini ya utaratibu maalumu (Bangi ni Pesa)

    Nimerudi kusoma user-id punde baada ya kusoma maoni yako. Kitaalamu sijui imesababishwa na Nini.
  5. K

    Ni kweli Kanisa Katoliki wanatunza akiba ya fedha kutekeleza Sheria ya Jumapili?

    Bila shaka post hii umeiandika ukiwa na hasira Kali sana dhidi ya wasabato.
  6. K

    Ni kweli Kanisa Katoliki wanatunza akiba ya fedha kutekeleza Sheria ya Jumapili?

    Toaneni damu Mimi nipo hapa kutoa huduma ya kwanza.
  7. K

    Rais Samia afanyiwa Ibada Maalumu nzito Vatican

    Kama una ugonjwa wa pressure, andaa makopo ya kutosha kuanzia 2025. La sivyo jiandae kuwa chawa wa ...
  8. K

    Rais Samia afanyiwa Ibada Maalumu nzito Vatican

    Hata aibe kura ila si YEYE 2025 na kuendelea.
  9. K

    Rais Samia afanyiwa Ibada Maalumu nzito Vatican

    Ajiandae kushangaa 2025.
  10. K

    Ushahidi wa orodha ya matukio aliyotabiri Nabii wa Wasabato Hellen G White ambayo kamwe hayakutokea

    Hapo unatukaribisha kujadili ama kubishana? Maana mada yako kwenye heading tu unaonyesha UPO kishari zaidi. Anzia kwenye jina la unayetaka tujadili maandishi yake.
  11. K

    Jinsi chama cha upinzani kinavyomsulubu Edgar lungu, ambaye aliachia uongozi kwa amani.

    Nimeiona post yako nikataka kuandika jambo flani ila nimejizuia kuliandika.
  12. K

    Mpenzi wangu aliniacha sababu boksa zangu ni za vitenge!

    Kuanzia Leo wewe ni msaidizi wangu mkuu.
  13. K

    Recap: Hapa Rais Samia uliteleza kwenye ulimi, ukiweza rekebisha kauli hii

    Kimtokacho mtu ndicho kiuzajacho moto wake.
  14. K

    Lissu ukiendelea kumshambulia mzanzibar kumbuka kushukuru, ni mzanzibar alijitojitolea kukodisha ndege kuokoa maisha yako

    Tenda wema nenda zako usingoje shukrani. Kama Rais Samia alifanya alichoamini ni sahihi, naamini ana amani hata akitukanwa mara elfu na aliyemsaidia ingali sasa anamtukana. Vivyo hivyo kwa huyo mbunge mzanzibari. Nakusindikiza na nukuu ifuatayo. Luka 14:12 [12]Akamwambia na yule...
  15. K

    Kumbe Nesi aliyeokoa Uhai wa Lissu Dodoma Hospital alifukuzwa kazi, Akutana na Tundu Lissu kuomba Msaada wa Kisheria

    Likiongozi la malaika (lilijiombea) Lina ROHO sawa na liformer bosi.
Back
Top Bottom