Search results

  1. T

    TP Mazembe waomba kufundishwa football management na Yanga

    Tp mazembe nao wanataka kujifunza kupitia mageti ya uani
  2. T

    Leo ndio nimejua kwanini wanawake wanajiingiza katika tabia za udangaji

    Mafisi wameona ni mtoto wa kike wameanza kushoboka [emoji1787][emoji1787]pambana binti no retreat no surrender.... Ukiwa kipindi cha njaa na shida usitafute kaz za ofisii za kuning'iniza miguu tafuta kazi za hali yako jiegeshe kwa mama ntilie wawili mmoja piga parttime asbh had mchana jion kuna...
  3. T

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Sio kilaini kaka nayeye anastruggle guardiola ni kocha mjanja mjanja na muoga ndo maana kaifanya epl ionekane ligi ya wakulima na kufny mageuzi si ajabu akawez kuchukua kombe hata mara6 mfululizo. Guardiola anajua kunyakua haraka haraka wachezaji wanaoendan na falsafa zake alafu anakuwa...
  4. T

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji873]
  5. T

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Korona hamna saiv ndugu zetu liverkuku kazeni
  6. T

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Liverkuku acheni kula kande kwenye safar ndefu bus linasimama watu wachimbe dawa nyie mnaenda haja kubwa...kuchimba dawa porini ni kwenda kukojoa tu hapo nyuma ya gar tukutane mwakani ndugu zetu #coyg
  7. T

    Ujanja mpya umeibuka wa kutapeli wanawake hela kwa kutumia dating page za Instagram

    Hili jambo nilakweli tena kuna wengn wanajidai wamefungua international pages za dating za kibongo ni noma sana wajinga ndo waliwao
  8. T

    Je, ni sahihi Kwa makampuni ya kichina kunifanyia haya?

    Ukitaka wachina wakupelekeshe kuwa mnyonge jamaa wanaubabe fln wenye uoga ukitaka uwaweze fanya kaz yao jielewe na usiwe mnyonge hasa unapokuwa karbu na waafrica wenzako ukiwa pekeyako na wao wapo wengi wanawez hata kukuua
  9. T

    Mke wangu kaniambia wana ndoa sio lazima waishi pamoja, kahamia Dar lakini sijui anaishi wapi!

    Huyo sio mke acha undezi bhn huyo malaya ni muuzaji nkubwa wapo wengi sana wahivo wanajidai ni independent grl kumbe majanga makubwa
  10. T

    Sijui kwanini nimeumia hivi

    Sasa dada umeumia hivi na umeomvwa msaada je sisi wanaume tunavyohangaika na shida zenu hadi kuwanunulia assets kesho mnakuja kuona aliyekununulia vocha niwamaana kuliko aliyekununulia simu. Jikaze tu bhana usonge mbele mi nilimsaidia dada mmoja nauli ya kwenda kufanya interview kwenye hospitali...
  11. T

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    Arsenal subiri msimu ujao labda labda ushinde4 kila mechi yaan kwa mechi 6 uwe na goli 18+ sabb sisi gunnerz tayar tupo juu yako kwa goli8 na tuna game7 hapo tunasure ya kuvuna goli14
  12. T

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Ukitaka kamari hasa betting ikuendeshe na ikuzabe vibao vya maana iendekeze kupitiliza..yaan jitu kila siku linataka tu kubetkubet kubet hakuna lingn la maan atawaza kweli pesa ya muhindi tamu lakini bet sio jambo la kuendekeza utajikuta kwenye nyakati ngumu na frustrations za kufa mtu daily...
  13. T

    Wanaume mnakera sana

    Moja ya post yenye mindset ya kupuuzi kabisa hii ndio mijianamke inayofikiri uchi ndio chanzo cha kupata pesa kwa mwanaume...
  14. T

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Mi nimekuelewa vzr san kai angekuwa mwepesi kuturn kam alivyo watkins au isack angekuwa hashikiki yule mtoto ila ndo hivo mungu hakupi vyote
  15. T

    Ni aibu kwa Media, Waziri na Wachambuzi wa Michezo kutoa maamuzi Goli la Yanga bila kujiridhisha

    Kaka ulisoma shule gani hujui hata centimita 30 inafananaje na upo humu??
  16. T

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Moja ya penalt mbovu ya diving ya wazi kabisa ni hii ya leo ya bissaka vs elliot hiivi hii VAR kuna muda mbn inakuwa ya kiboya sana
  17. T

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Bora useme spurs ila hawa man u tutawapiga vibaya palepale natofalini hatutaki ujinga kwa timu zenye makocha wa day waka
  18. T

    Naomba mbinu (zisizo dhahiri sana) za kumfanya mwanaume akutongoze

    Kuna heka moja hapa goba kulangwa ya kulima
  19. T

    Kupitia mimi nimejifunza kitu kikubwa sana kuhusu hili jambo. Usioe mwanamke mwenye mtoto

    Kwenye bas anakuja kwako au anaenda kwake au wazaz wake huyu ni noma
  20. T

    Kupitia mimi nimejifunza kitu kikubwa sana kuhusu hili jambo. Usioe mwanamke mwenye mtoto

    Hii ni kauli ya mama mzazi kwetu vijana wake aneshatuhubiria zaidi ya mara2 " Wanangu mwanaume ndie mwenye mamlaka juu ya familia yake jitahidi ujiepushe kuoa mwanamke mwenye mtoto ikitokea bas msifunge ndoa muishi tu sabb mpo wawili tayari" Hayo ni maneno ya mama wa kisukuma.
Back
Top Bottom