Search results

  1. phina98

    Nini dawa ya asili ya kuondoa gesi tumboni?

    Ipo maduka asilia inauzwa elfu tano tu ila ikiisha ukitumia vyakula na vinywaji vyenye gas Hali inarudi kama mwanzo
  2. phina98

    Mwenye Kujua Dawa ya Kuangamiza Mende

    Maziwa ya fresh au
  3. phina98

    Ngozi ya jicho inaungua, napenda kujua tatizo ni nini?

    Niko naangalia mishe nyingine nisepe
  4. phina98

    Ngozi ya jicho inaungua, napenda kujua tatizo ni nini?

    Now niko Poa nimembiwa n infection ya chemical n kweli kazi zangu n kiwandan nilipewa antibiotic nikapona
  5. phina98

    Ngozi ya jicho inaungua, napenda kujua tatizo ni nini?

    Hpn kwakweli sijawahi paka io kitu
  6. phina98

    Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

    Me Naomba kujua wanakouza ndala, crocks na sendles za kiume jumla Kkoo kwa anaejua atusaidie tafadhali
  7. phina98

    Ngozi ya jicho inaungua, napenda kujua tatizo ni nini?

    Nilinua dawa ya kupaka nikapaka ile Hali ikaisha ndani ya siku tatu now niko ok niliambiwa ni infections ndogo tu kulingana na kazi ninazofanya Niko kiwandani so kemikali ni nyingi sana
  8. phina98

    Hivi lengo la Mungu kuhusu zaka ni nini? Niko kanisani naambiwa nitoe kwenye mshahara 'net'

    Naomba kuuliza kwa wakatoliki mtoto unapswa kumlipia zaka na unailipa kisi gani kama ikiwa maana ya zaka ni asilimia 10 ya ukipatacho?
  9. phina98

    Komesha harufu kali ya miguu kwa kutumia VODKA

    Nimefanya ivo lakini bado Navaa viatu Mda mrefu juli gaan na mazingira ya kazi ila iyo haruf Inanikera sana kuna mtu kanambia nipake sabuni inayoitwa be you ila sjaipata madukani kariakoo msaada kwa anaejua zinakopatikana bx
  10. phina98

    Nini unafahamu kuhusu pete za uchumba na ndoa

    Mi Naomba kuuliza jamani inakuwaje kama umeishafanya utambulisho na mahari ishalipwa mmeishi wote kwa Mda labda wa mwaka mmoja izo hatua za pete ya u chumba sjui sends off nd hakuna tena! Au hata kama mliishi wote unaweza kuzifanya izo hatua pia?
  11. phina98

    Ngozi ya jicho inaungua, napenda kujua tatizo ni nini?

    Wataalamu au walokwisha kutana na hio hali bx watuambie shida n nini na matibabu yake
  12. phina98

    Ngozi ya jicho inaungua, napenda kujua tatizo ni nini?

    Naomba kujua tatizo ni nini ngozi ya nje ya jicho inaungua na kutoka magamba yake baada ya mda kama mtu alietembelewa na narrow bee fly ila tatizo sjajua ni nini wana forum kwa anaefahamu msaada tafadhali
  13. phina98

    Msaada-Nairobi fly kaniharibu ngozi shingoni

    Jaman msaada mimi nje ya jicho upande wa juu na wa chini wa kope palivimba siku mbili ya tatu pakakauka kama metembelewa na narrow bee fly ila sina uhakika kama nd huyo alimitembea naogopa au niende kituo cha afya wakanielekeze nin shida mpk najiogopa
Back
Top Bottom