Leo naomba tuangalie na kujiuliza na kujijibu baadhi ya maswali yanayoonekana kuwatatiza watu wengi.
1. Mimi ni nani?; Mimi ni nafsi, mwili na roho.
2. Nimetoka wapi?; Nimetoka kwa Mungu Mkuu.
3. Amenileta kufanya nini hapa duniani?; Kufanya kazi yake ya kipekee ambayo hakuna mwingine...
Nianze na salamu za mwaka huu wa 2024 kwa wanajukwaa wote,nilibanwa kidogo na shughuli nyingi mwaka huu ila sasa nimerudi tena jukwaani.
Tunaanza; Tambua kuwa nafsi ndiyo sehemu ya mtu iliyobeba hatma yake yote awapo hapa duniani. Kazi ya roho ni kutia nguvu tu vilivyopo kwenye nafsi ili mtu...
Kwa watu wenye hekima na maarifa na ufahamu wa kutambua nyakati. Napenda kutoa ushauri kwa wakubwa wa nchi haswa wale wa ndani kabisa wanao shikilia na kumiliki majalada nyeti sana.
Katika nyakati hizi ili kutenda kwa akili na ufahamu na hekima, nyakati hizi zinahitaji, kwanza, kuchoma baadhi...
Nawasalimu wote wanajukwaa,leo nataka tujifunze silaha kuu tano zinazotumika katika ulimwengu wa kiroho.
Kama wengi tunavyojua kuwa katika ulimwengu wa kiroho kuna falme kuu mbili,falme ya kwanza ni ufalme wa nuru na falme ya pili ni ufalme wa giza.
Falme zote hizi zina muundo na uongozi na...
1.SIMEONI.Hawa wangekuwa "WAKURIA"."Panga zao ni silaha za jeuri.Ghadhabu yao na ilaaniwe,maana ilikuwa kali,Na hasira yao,maana ilikuwa haina huruma"'.
2.REUBENI.Hawa wangekuwa "WAMERU"."Umewapita wengine kwa ukuu na kwa nguvu.
Umeruka mpaka kama maji,basi USIWE na ukuu".Hawa ilikuwa bado...
Nijuavyo mimi ni kuwa,Mungu si jina bali ni cheo cha juu sana kuliko vyote duniani na ulimwengu wote.Yaani ikitokea chochote/mtu yeyote akaweza kukutimizia mahitaji yako yote pasipo kuzuiliwa na mtu yeyote au kitu chochote kile na pasipo kufungwa na muda,basi kitu hicho au mtu huyo unaweza...
Kwanza nianze kwa kusema kuwa "baba" ndiyo cheo cha juu sana katika familia.Cheo hiki kinaweza kurithiwa na mtoto wa kiume (halali wa baba) kabla baba yake hajafariki,lakini kamwe hawezi kuapishwa "kiroho" kuchukua cheo hicho mpaka pale baba yake anapofariki.
Ninachotaka kusema ni kuwa, mtoto...
Moja kwa moja kwenye mada. Tunapaswa kujua kuwa hakuna tukio kubwa linaloipata nchi yoyote bila mkuu wake kuonyeswa mapema ndotoni. Wengi wenu nadhani mlishawahi kusoma au kusikia kisa cha Yusufu na mfalme wa misri (Farao).
Kwa ufupi ni kwamba Farao aliota ndoto na akashindwa kuitafsiri na...
Nawasalimu wote katika ukurasa huu pendwa. Watu wengi wamekuwa wakiteseka kwa kuondokewa na wapendwa wao kwa ghafla pasipo kujua kuwa tayari walishapewa taarifa sema walishindwa kuzitafsiri.
Leo naomba nikusaidie kwa uchache kutambua dalili zitakazo kusaidia kujua mtu uliyenaye atafariki muda...
Natumaini wote ni wazima wadau wa huku.
Lengo la kuleta uzi huu kwenu ni kutoa taarifa ya furaha na kuwaamsha usingizini kuwa ule msimu wa mwisho wa dunia tayari umeshafunguliwa na lango lake lipo wazi. Tuanze, miaka 2000 iliyopita waliokuwepo walishuhudia lango la pili kutoka mwisho...
Ili uweze kujua kusudi lako na hatimaye kufikia hatma yako ni muhimu sana kujua muundo wako wewe kama binadamu.
Binadamu anaundwa na vitu vitatu ambavyo ni;ROHO,NAFSI NA MWILI. ROHO,hii ndiyo inayokupa uhai na ipo ndani ya damu yako.
Kumbuka damu ya mtoto aliyeko tumboni na mpaka kuzaliwa ni...
Dirisha la tatu na mwisho kwa mwaka huu la kutuma maombi ya shahada ya kwanza ndiyo limefungwa jana.
Tunaomba NACTE watuangalie kwa jicho la huruma wengine, tunaomba watuongezee japo siku tano au hata wafungue dirisha la usajili kwa siku mbili za mwanzoni mwa mwezi wa kumi.Naomba hivi kutokana...
Katika jamii na taifa lolote lile haipingiki kuwa elimu inasimama kama moyo au injili.Hili linajidhihirisha wazi kutokana na uwezo wa elimu kumtengeneza mtu kihaiba,kijamii,kihisia na kimaono.Lakini elimu hii pasipo kugeuka kuwa maarifa inakosa maana na kuwa mzigo mzito kwa mtu binafsi,jamii na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.