Leo naomba tuangalie na kujiuliza na kujijibu baadhi ya maswali yanayoonekana kuwatatiza watu wengi.
1. Mimi ni nani?; Mimi ni nafsi, mwili na roho.
2. Nimetoka wapi?; Nimetoka kwa Mungu Mkuu.
3. Amenileta kufanya nini hapa duniani?; Kufanya kazi yake ya kipekee ambayo hakuna mwingine...
Bado anakupenda na anakuhitaji pia ni wewe tu ndiyo ulimtelekeza. Alafu embu tafuta uzi wangu wa "wa dalili za mtu anayekaribia kufa" soma alafu nitakuja kukushauri kitu cha maana.
Ok, Mungu anisaidie. Kama alivyo saidia Mr 7seven hapo chini kwa usahihi kwa msaada wa Mungu, naomba niongezee kidogo. Kuwa shule maana yake ni kuwa kwenye maandalizi ya kuingia hatua nyingine ya juu zaidi. Kukaribishwa kwenye darasa la somo la kiswahili, maana yake Mungu anakutaarifu kuwa...
Usihofu Mungu ni mwema. Mr 7seven naomba mpe huyu mtu muongozo wa maombi ya kukomboa nafsi yake maana naona hapo ndipo penye mzizi wa tatizo. Tulia utapewa muongozo.
Usihofu Mungu ni mwema. Mr 7seven naomba mpe huyu mtu muongozo wa maombi ya kukomboa nafsi yake maana naona hapo ndipo penye mzizi wa tatizo. Tulia utapewa muongozo.
Hakuna hata haja ya kutaja jina la huduma ya mtu. Ngoja nifuatilie kidogo alafu nitakujibu mapema maana kukosa amani katika ulimwengu wa kiroho husababishwa na mambo mengi.
Ok,nimeomba Mungu nikusaidie hii ya kwanza. Kuota upo kwenye hiyo shule maana yake kuna maandalizi ya kuingia upako mpya na ulishapewa taaifa huko nyuma kuwa unahitajika kwenye maandalizi hayo lakini hukuelewa na yameshakaribia kwako. Shule usiyoijua maana yake ni maandalizi mapya kwako.kutamani...
Hizi ni nyakati za mwisho ndugu yangu,unaweza kuona upako wako umekata kabisa ukashangaa kumbe ni ujumbe unapewa kuwa uachane na huo wa zamani ili upewe mpya utakao kufungua milango yako yote ya rohoni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.