Search results

  1. E

    Intern- Gender and Respectful Care Jhpiego

    Habari wakuu Kama kuna mtu humu ndani alikuwa shortlisted kwenye position ya Intern Gender and Respectful Care at Jhpiego na kufanya interview jana naomba tufahamiane
  2. E

    Nina shida na Mtumishi wa THPS (Tanzania Health Promotion Support)

    Habarini, Nilikuwa naomba kama kuna mtumishi yoyote wa THPS humu ndani naomba tuwasiliane. Asanteni
  3. E

    Natafuta Ajira, nipo tayari kwa Mkoa wowote

    Habarini ndugu zangu, Mimi ni muhitimu wa kozi ya Bachelor of Science in Nursing (Nursing Officer). Nilikuwa naomba kama kuna mwajiri au mtu yoyote mwenye connection ya kazi inayoendana na kozi yangu anisaidie. Niko tayari kufanya kazi mkoa wowote Shukrani🙏🏾
  4. E

    Natafuta Ajira, nipo tayari kwa Mkoa wowote

    Habarini ndugu zangu, Mimi ni muhitimu wa kozi ya Bachelor of Science in Nursing (Nursing Officer). Nilikuwa naomba kama kuna mwajiri au mtu yoyote mwenye connection ya kazi inayoendana na kozi yangu anisaidie. Niko tayari kufanya kazi mkoa wowote Shukrani🙏🏾
  5. E

    Madhara niliyoyapata baada ya kutumia vumbi la Kongo

    Hello members Mimi ni kijana wa miaka 24. Week iliyopita Jumatano nilitumia vumbi la kongo ila cha ajabu kwenye show uume ulisimama legevu sana! Yani ulikuwa unasimama halafu nikitaka kuingiza unalala Hali kama hii sikuwa nayo before kabisa. Yani sahivi hata nikiamka asubuhi uume hausimami...
Back
Top Bottom