Habarini wana jamiii forums, nipo kuomba tena msaada. Nimekuwa shortlisted kwenye kada ya TUTORIAL ASSISTANT chuo cha Open University.
nilitaka kutambua maswali gani huwa yanaulizwa kweny hii Position kiujumla.
Nina siku 4 tu za maandalizi sielewiii nianze kushika lipi.
Natanguliza shukrani...
Mimi ni kijana wa miaka 24 ni muhitimu wa shahada ya ukemia mwaka 2021 katika chuo kikuu cha Dodoma . Ninahitaji ajira yoyote ya halali katika viwanda au kampuni yoyote inayohusiana na ukemia.
Yoyote mwenye kunisaidia anaweza kuniPM tafadhali! Natanguliza shukrani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.