Kwa sababu umeandika kisheria na m nakujibu kwa kisheria kwa haya maswali machache:-
1. Je ni lazima kwenda JKT?
2. Wameenda kwa hiari au kulazimishwa?
3. Je kuna option nyingine wangeweza kwenda badala ya JKT?
Ukipata majibu rudi kwenye ile rule ya "EX TURPI CAUSA NON ORITUR ACTIO"
Case closed.
KIJANA USIKUBALI KUOA... Lea damu yako waache wazazi wake walee dam yao pia.
Hakuna shiria Tz inayomlazimisha mtu kuoa... Timiza wajibu wako kwa mwanao tu.
Kwanza S. 9 ya Sheria ya Ndoa mpaka hapo washaivunja kwa kukulazimisha.
KATAA NDOA
Aseee!, Anazingua sana kusema et K haizeeki. Hiyo ya 34+ yrs inaweza kutoa ile maziwa wako nayo 2005's??
Na unakuta uyo mtoto wake akiamka asubh anakusalimia "Shikamoo Bro! 😂😂😂
Yani Hauna cleen Sheet mana una mtoto mmoja.
Baba mtoto kakukimbia
Una miaka 34+
Uje ujilinganishe na vitoto vya 2005??... Eti K haizeeki?
Ww una matatizo ndo mana huko mtaan huolewi wenzako wanakukanyaga tu na kukimbia
Em vitoto vya 2004 hadi 2007 vipewe heshima zao
Wewe ijenge nchi kwa upande wako wacha wanaotusua watusue tu.
Kama unaona wanaopitisha kikokotoo wao hakiwagusi na bado hujastuka unataka wajukuu zako waseme walikuwa na Babu Lafa sanaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.