Search results

  1. EEM M

    Mabinti wa Kiislamu kuvaa bukta katika mafunzo JKT ni kwenda kinyume na Katiba

    Kwa sababu umeandika kisheria na m nakujibu kwa kisheria kwa haya maswali machache:- 1. Je ni lazima kwenda JKT? 2. Wameenda kwa hiari au kulazimishwa? 3. Je kuna option nyingine wangeweza kwenda badala ya JKT? Ukipata majibu rudi kwenye ile rule ya "EX TURPI CAUSA NON ORITUR ACTIO" Case closed.
  2. EEM M

    Nalazimishwa kumuoa binti niliyemzalisha lakini nimegoma. Sheria za nchi zinasemaje?

    KIJANA USIKUBALI KUOA... Lea damu yako waache wazazi wake walee dam yao pia. Hakuna shiria Tz inayomlazimisha mtu kuoa... Timiza wajibu wako kwa mwanao tu. Kwanza S. 9 ya Sheria ya Ndoa mpaka hapo washaivunja kwa kukulazimisha. KATAA NDOA
  3. EEM M

    Mjadala kwa wanaokubali kuoa (Ndoa)

    Kama ndoa ni mpango wa Mungu MBONA YESU HAKUOA?? Wajuzi wa Biblia natamani kujua kama YUSUPH ALIMUOA BIKIRA MARIA?? 🤔 #KIJANA KATAA NDOA
  4. EEM M

    Nahitaji Mwenza

    Leta video ya mazishi ya Mzazi/wazazi wenza.... Asahv tushastuka hatujichanganyi 😂😂
  5. EEM M

    Kosa langu nini ni Vannesa?

    Unaamini ni yako we ndo uliibeba? Mkuu unamwamini mwanamke?? Stop that shit
  6. EEM M

    Waliozaliwa 1984 tukutane hapa tuzungumze...

    Hii Koment bila picha ni uongo mtupu kama stori za Hawafu mwenye nguvu.
  7. EEM M

    Mchepuko Nimeunulia gari aina ya VX8 baada ya kulichoka kasema hakuna nilichomfanyia

    HII CHAI IMETIWA NDIMU KAMA ZILE ZA KIPINDI CHA KORONA. 😂😂
  8. EEM M

    Mume anatafutwa

    Aseee!, Anazingua sana kusema et K haizeeki. Hiyo ya 34+ yrs inaweza kutoa ile maziwa wako nayo 2005's?? Na unakuta uyo mtoto wake akiamka asubh anakusalimia "Shikamoo Bro! 😂😂😂
  9. EEM M

    Yamenikuta wakuu, nimetongozwa kwenye daladala

    Kwahiyo iyo clean sheet yako unapeleka wapi?? Nyie ndo mkifa maiti zenu ninachapwa bakora.... Shenzi kabisaa.
  10. EEM M

    Napenda sana majirani wa aina hii

    Mbali na kwamba hii chai haina sukari mwamba una roho ya DP World
  11. EEM M

    Mume anatafutwa

    Yani Hauna cleen Sheet mana una mtoto mmoja. Baba mtoto kakukimbia Una miaka 34+ Uje ujilinganishe na vitoto vya 2005??... Eti K haizeeki? Ww una matatizo ndo mana huko mtaan huolewi wenzako wanakukanyaga tu na kukimbia Em vitoto vya 2004 hadi 2007 vipewe heshima zao
  12. EEM M

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Umekariri stori zote za huu uzi 😂
  13. EEM M

    Kuna mfanyakazi 'immigration', TANESCO au TRA Maskini?

    Wewe ijenge nchi kwa upande wako wacha wanaotusua watusue tu. Kama unaona wanaopitisha kikokotoo wao hakiwagusi na bado hujastuka unataka wajukuu zako waseme walikuwa na Babu Lafa sanaa
  14. EEM M

    Ninayetaka kumuoa ana mchepuko mwingine

    Hawa vijana wapumbafu ndo wanasababisha mafuriko..
  15. EEM M

    Ninayetaka kumuoa ana mchepuko mwingine

    Yani uoe single maza na mzazi mwenza yupo hai?? Hv huwa mnatumia matrako kufikiria au??
  16. EEM M

    Ni bima ipi ya afya bora kukata? Tupeane uzoefu na ushauri

    Haya umeyatoa wapi??... STOP misleading wanaJF
Back
Top Bottom