Search results

  1. Uhakika Bro

    Mungu maana yake ni nini? Au Mungu ni nini?

    Kiukweli hata sasa Mungu anasema na wewe kupitia KWELI hizi unazosoma humu Jf Aepm na mie na wengine wakitype ukweli basi ujue ni Mungu anasema kupitia wao. Unanakili??
  2. Uhakika Bro

    Mungu maana yake ni nini? Au Mungu ni nini?

    Hahahaaaaah! 😆. Seee! Nyie jamaa mnaamini sana katika kutokuwepo (kifo) na ndicho mnakipigania siku zote. Huwa inaniacha na maswali hivi ni kwa namna gani mtu anakuwa na utayari na utamani wa kifo kwa kiwango hicho? Inashangaza sana. Ndiyo maana wanadamu tunaaswa kuwa kamwe tusijidhanie kujua...
  3. Uhakika Bro

    Mungu maana yake ni nini? Au Mungu ni nini?

    Hakika, akili wazo lenye akili ndio tunachotafuta na ndicho sie wenyewe tulicho. Mkana wazo la Mungu mara nyingi kama sio zote hukana pia yeye kuwepo. Hukana kila kitu, atakana uhakika, atakana muda, atakana akili, atakana upendo. Ni watu wakumbatiao na kupendelea kutokuwepo kiasi kwamba mwisho...
  4. Uhakika Bro

    SoC04 What if the nation really need is to breathe? We want a properly breathing Tanzania

    I am no preacher; I am a researcher. But I know the code, and that code is the Word of God. "Thus saith the Lord GOD unto these bones; Behold, I will cause breath to enter into you, and ye shall live" (1). "Whomever GOD wills to guide, He renders his chest wide open to Submission. And whomever...
  5. Uhakika Bro

    SoC04 Je, ikiwa taifa linachohitaji kiukweli ni kupumua? Tanzania inayopumua ipasavyo

    Mimi siyo mhubiri, ni mtafiti. Lakini naijua kanuni, na kanuni hiyo rafiki yangu, ni Neno la Mungu. Bwana MUNGU aiambia mifupa hivi; Tazama, nitatia pumzi ndani yenu, nanyi mtaishi. (1) "Mwenyezi Mungu Amtakaye kumwongoza hukifungua kifua chake kwa kunyenyekea. Na amtakaye kumpoteza hukifanya...
  6. Uhakika Bro

    SoC04 Mfumo mbovu wa elimu

    Homohabils, nimejua kuwa kutumia zana kulitusaidia sana kuendelea kama watu. Photosynthesis nikajua kwamba fizikia ya vifurushi inahusika kuifanya fotoni ya mwanga kujongea katika kitivo cha kati cha michakato 😆😆😆😆😆😆😆😆. Ninywe maji kwanza asee hiyo sentensi hapana. Mmmh ukosoma somo moja tu...
  7. Uhakika Bro

    SoC04 Itungwe sheria ya kila nyumba ya ibada kuwa na kituo cha kulea watu wenye mahitaji maalum kama yatima, wazee na walemavu

    Hahahaaaah we jamaa, asee una kipaji cha kutatua tatizo comprehensivelly 😆😆 Hakika bro. Itakuwa kama sehemu yao ya kulipa kwa jamii isiyohusisha kodi wala riba. Natumaini gharama za uendeshaji hazitakuwa kubwa maana watu wa kujitolea watakuwa wengi na wanaamini katika dini zao.
  8. Uhakika Bro

    SoC04 A Concept Paper on the Establishment of Medical Train Services in Tanzania by 2027

    Ooooh! Is it like making a mobile clinic train!! Or an ambulance train? Woow! This is new to most of us. Ill read this, because the maths is mind bogling🤯. New ideas everyday. The Tz we want.
  9. Uhakika Bro

    SoC04 Tanzania tuitakayo na mfumo wa malezi katika lishe

    Duuuh! Hatari sana tunafeli wapii? Yas tutafiti tujue nini kinatukwamisha?
  10. Uhakika Bro

    SoC04 Nafasi za Mawaziri zinazohitaji ridhaa ya Wananchi

    Wazo zuri, iwe kateuliwa iwe kachaguliwa muhimu atosheee kwenye nafasi yake. MERITOCRACY
  11. Uhakika Bro

    SoC04 Vita dhidi ya uraibu wa kamari na vilevi vikali, kuinusuru Tanzania tuitakayo

    Ni hasara, Nakubaliana na hili, yote yafanywe kama sigara. Na kama ambavyo hairuhisiwi kufungua baa asubuhi, iwe hivyohivyo na matangazo pamoja na michezo ya kamari. Matangazo kwa SMS pia yasiwepo kama tu ambavyo hakuna bia inatangazwa kwa meseji kila dakika 'kunywa bia hii ulewe mpaka asubuhi'
  12. Uhakika Bro

    SoC04 Kupitia mfumo huu bora wa elimu adui ujinga, maradhi na umasikini hawatatusogelea ng'o

    Na kama tungetambua kuwa ujinga ni kosa kubwa wakati upumbavu ni dhambi kabisa tutapiga hatua....... tusikie. Hili nnaunga mkono sana, tusirudierudie mambo tupate muda zaidi tujifunze mambo anuwai. Adui ujinga ndiye aliyetoa kosababishi cha sie kuendelea kuteseka sababu ya ujinga yaaani daaaah
  13. Uhakika Bro

    SoC04 Matumizi ya taasisi za Mawasiliano na mifumo ya Kidijitali kama njia ya mawasiliano (kutoa taarifa) kati ya wananchi na viongozi

    Hili tatizo sugu, japp baadhi ya taasisi wanajibu mfano NAOT wapo vizuri👏. Hakika, tunaunganika kwa taarifa kiasi cha kuwa kama kiumbe mmoja
  14. Uhakika Bro

    SoC04 Kuwekeza katika uvunaji wa poleni za nyuki kwa ajili ya matibabu ya figo

    Anhaaa, ni kitu kinafanya kazi kabisa eeeeh! Tafiti na maendeleo (r&d) kwa maendeleo ya fursa za nyuki. NIMRI wahusike, watafiti tupo tu hatuna kazi hapa. Muajiri wanamaabara, scientists, microbiologists, wafamasia, chemists tuwekeze tafiti za tiba za ndani camooon!
  15. Uhakika Bro

    SoC04 Mbinu za kongeza kipato kwa familia

    Sawa, tuhakikishe tu tunakopa kwa akili tu.
  16. Uhakika Bro

    SoC04 Mbinu za kongeza kipato kwa familia

    Nakubali, maana kujifunza ni kitu cha maisha yote. Lifelong learning wazungu walisema.
  17. Uhakika Bro

    SoC04 Tumlinde mtoto wa kiume wa kesho

    La msingi hili, watoto wote wapate huduma stahiki. Na watu wote tu
  18. Uhakika Bro

    SoC04 Upangaji na Upimaji Ardhi kimkakati kuepukana na Changamoto ya Makazi holela katika Miji midogo, Miji, Manispaa na Majiji

    Maeneo ambayo hayajaendelezwa ndiyo wakati mzuri sasa wa kuyapangilia...... Ndo matumizi mazuri ua akili kuona mbele. Muhimu sana, maana wabongo kuuziana mara nnenne hawachelewi😆😆 TUtaonekana nchi yenye akili sana tukiweza hili
  19. Uhakika Bro

    SoC04 Elimu ya chuo wabadilishe system ya kufundisha

    Wakifanya hivi watabalansi shule kubwa na mambo ya mtaani. Wote wana nafasi. Elimu ya nadharia na ya walio kwa ground/field. Tuking'angania sana wa mtaani ndio kila siku itakuwa kufundisha ujanjaujanja tu badala ya sayansi ya biashara. Mmmmmmh!!! Hiii mazee sasa msingi atautoa wapi? Au ndiyo...
  20. Uhakika Bro

    SoC04 Namna Halmashauri za Dar es Salaam zinavyoweza kuongoza nchi katika kupunguza utegemezi wa mafuta, upungufu wa dola na kuhamia kwenye matumizi ya gesi

    Naaam, serikali kuungana kutatua jambo la kitaifa ndiyo haswaaa zipo ili zifanye. Way to go
Back
Top Bottom