Search results

  1. an alpha male

    Happy Birthday Mahondaw

    Daah jf bhn😂😂
  2. an alpha male

    Get well soon Analyse

    Eeeh kumbe watu mna-date humu na hamsemi sijapenda
  3. an alpha male

    Naogopa kuwa mama

    mimi nafikiri anavyofanya sio sawa.....kwasababu kuna wakati yeye hatokuwepo utaenda kuolewa unafikiri itakuaje...
  4. an alpha male

    Naogopa kuwa mama

    sijui ila nafikiri bi mkubwa anakosea kufanya kila kitu yeye.
  5. an alpha male

    Kosa langu nini ni Vannesa?

    wimbo wa twanga pepeta....unaitwa mtu pesa
  6. an alpha male

    Kosa langu nini ni Vannesa?

    🎵🎤🔊 uliniacha na mtoto wangu mdogo vannesa. siku zinapita miaka, inakwenda mimi na vannessa. wewe utakuja nikumbuka aah wewe utakuja niulizaa aah umenikumbusha huu wimbo mkuu
  7. an alpha male

    Poleni wanaume

    Bila shaka hawa ni wale wa vijora, bega moja lipo wazi....hawajuagi kufua vyupi vyao hawa
  8. an alpha male

    Rafiki yangu amezaa na mke wa mtu

    huyo jamaa akate mawasiliano na huyo mwanamke kama kuna uwezekano akimbie kabisa hilo eneo na asipatikane..... dah hata sijui kwanin na mshauri vizur hivi wakati amefanya upuuzi maksudi kabisa
  9. an alpha male

    Wanaume acheni kuzaa na wanawake ambao hamtawaoa

    adui wa mwanamke ni mwanamke mwenyewe.....ukiwa haujalewa utanielewa vizuri. hakuna mtoto atazaliwa kama mwanamke hajataka.....pia wanawake kabla hata ya kulala na huyo mwanaume huwa wanajua kama huyu anaweza kulea au atanikimbia.....ila ni uzembe na ile mentality yao kwamba atabadilika.
  10. an alpha male

    Hata siku moja usimpende mtu zaidi ya unavyojipenda

    Tatiana manaois aliimbaga "it's dangerous to let somebody love you more than you love yourself, so don't let nobody love you more than you love yourself. when you got to changes hope you love you the same way, love yesterday, everday love yourself always, cause everyone changing with the...
  11. an alpha male

    Hata siku moja usimpende mtu zaidi ya unavyojipenda

    muhudumu mpelekee maji jadda nitalipa mimi
  12. an alpha male

    Hata siku moja usimpende mtu zaidi ya unavyojipenda

    well said....unatumia kinywaji gani tafadhali?
  13. an alpha male

    Wanawake, ukimpenda mwanaume halafu yeye hakutongozi huwa mnafanyaje?

    Kweli tena wewe jaribu kwangu uone kama nitakuchomolea
  14. an alpha male

    Wanawake, ukimpenda mwanaume halafu yeye hakutongozi huwa mnafanyaje?

    Mbo mbona sisi maharage ya mbeya maji maramoja tu
  15. an alpha male

    Mfute mwenza wako baada ya kumaliza

    Maana ukimpa maana atasumbua
  16. an alpha male

    Mfute mwenza wako baada ya kumaliza

    Mgeg mbegu zichafue shuka kwani hamwagii ndani
  17. an alpha male

    Wanaume mkipepeta mdomo mjue na kutenda; “what a waste of sin”

    sawa.....ebu nipe nafasi na mimi ili nijue shida ipo kwako au kwake😊
  18. an alpha male

    Wanaume mkipepeta mdomo mjue na kutenda; “what a waste of sin”

    Mi mimi najiuliza kama uliweza kumchana kuhusu shoo yake kuwa mbovu....ulishindwa vipi kumwambia jinsi unavyotaka akufanyie ili u-enjoy.
Back
Top Bottom