Just thinking out loud, wouldnt it be fair kama pia watotot wa kiume wangekua celibate pia kwenye hizo tuzo?
Because, kama wewe n mzazi una mtoto wako wa kike, its a great honor kuona binti yako anajitunza, but je itakua furaha kwako pia ukiona after kujitunza koote anaenda kuolewa na kamsela...
Just thinking out loud, wouldnt it be fair kama pia watotot wa kiume wangekua celibate pia kwenye hizo tuzo?
Because, kama wewe n mzazi una mtoto wako wa kike, its a great honor kuona binti yako anajitunza, but je itakua furaha kwako pia ukiona after kujitunza koote anaenda kuolewa na kamsela...
Unatoka nyamhongolo, unafika machinjioni, unachapa kulia, moja kwa moja hadi buswelu, then unakata kushoto unatokea kiseke unafika sabasaba unachagua uende airport au urudi mjini kati.
Last time nmepita ni kama a month ago ni lami iliyonyooka tena fyade kabisa. Sikwenda zaidi ya hyo route
Watanzania hatusongi mbele due to hii mentality ya ki stupidi stupidi ya kuamini kua watu lazma wateseke as if kuna certificates zinatolewa kwa mtesekaji hodari.
Mtoto anapanda basi ili apate exposure na misingi mbali mbali kwa ajili ya dunia inayoendelea.
Kujua kuuza pipi 120 from 100 haimfanyi...
Fungua shoe shine na shoe repair na kuosha viatu. Ma don watavileta na kuviacha.
At the same time unaweka hyo maji.
Miez 3 baadae unaweka genge kali la kuuza matunda na mboga za anasa kama vile ma "epo" na mabrokoli sijui yale..
Unaongeza na bango la "ushauri wa afya na kisukari na presha bure"
Ni mwamba mmoja mwenye heshma zake humu ndani alisema ana matraqo malaini yanayotingishika kumbe ni fake account akajichanganya na kujiexpose kwa real account yake..
Kama ni mwenyeji humu ndani lazma story yake utaijua tu. Sema kwa sababu za ki itifaki siez kumtaja
Ndo maana hua nawashangaa watu wanaojipost ovyo mtandaoni.
Waeza kuta hyo foto hapo juu ni manzi alijiposti huko fesibuku, sasa hv jamii forum anaonekana hagongwi vizuri.
Unakuta kuna mtu anamfaham mtaani kwao na yuko humu JF tayari anaanza kumuona wa ajabu na haridhishwi.
Lakini kama ndio joji...
Kuna mzee mmoja nilikutana nae kipindi nafanya kazi Serikalini, akaniambia, mwanangu, mshahara wa Serikali umewekwa kwa kiasi hicho makusudi ili ukuwezeshe ku survive hadi ifikapo mwisho wa mwezi. This is the way Serikali inahakikisha hauondoki kwao ili waendelee kukunyonya thru kodi n.k na pia...
Sometime hua naona wabunge wana mdudu kwenye ubongo.
Picture this, bunge lote ni chama kimoja, hapo hapo wanakutana sehem moja a.k.a bungeni, alaf on top of aaaallll that bado wanasifiana humo humo.
Ni kama uishi na mama yako na ndugu zako, then kila siku unaamka na kuanza kuwaambia "huyu ni...
Malovee, miaka 2, uchumba miaka 3.
After that time nlikaa nkasema wazi kua hata nkipata mtu mwingine hawez kusonga ugali mgumu kama huyu, nkaenda kupeleka taarifa kwa wazee..
Bond inakua kubwa zaidi between people pale ambapo hawaonani kwa muda mrefu.
Mimi naondoka saa kumi na moja narudi saa sita kasoro.
Nkifika mda huo mwenzangu alishalala usingizi ukapungua, ataamka, tutapiga stori mbili tatu, ntazima hadi next day.
Lakini at leasy once per week nawahi au nabaki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.