Search results

  1. bandeko andeko

    UENDESHAJI KAMPUNI: KUMTOA MWANAHISA.

    kwa namba 1 ikitokea mwanahisa anataka kujiondoa katika kampuni yenye zaidi ya miaka say 7 na yuko tayari kupoteza/kuziacha hisa zake utaratibu unakuwaje? Bexb
  2. bandeko andeko

    RPC Ruvuma asema Mtuhumiwa aliyejeruhiwa kwa risasi ya mguu wakati kitoroka amefariki Dunia

    w watu wanakufa hata wakiwa usingizini sembuse aliyepigwa risasi ya mguu.
  3. bandeko andeko

    Wakuu wa Mikoa wote wangefanya kama anachofanya Makonda tungekuwa mbali

    naona martin shigella naye ameanza kufuata nyayo kwa kutembelea wananchi kutatua kero zao.
  4. bandeko andeko

    Waziri wa Ardhi aifunga Ofisi ya Idara ya Ardhi ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma

    hii ikisimamiwa vizuri inaweza saidia kupunguza migogoro ya ardhi kwa kiasi kikubwa.
  5. bandeko andeko

    Kwa heshima na taadhima naomba ulipokee hili To yeye

    atakuwa anamtumia mganga wa maria yule wa juakali.
  6. bandeko andeko

    Watoto wote watatu wa Griezmann wanasherehekea siku yao ya kuzaliwa leo

    ni watoto wa masangati hapa temeke hospital.
  7. bandeko andeko

    Kama nimejenga nyumba kwenye kiwanja si changu, kunivunjia nyumba au kuniambia ninunue hicho kiwanja kipi bora?

    hiyo unayoiita busara ndiyo ilitumika sana kupoka wenye uwezo mdogo viwanja au nyumba zao zilizoko kwenye 'prime areas' kwa kisingizio cha kulipa fidia isiyokidhi.
  8. bandeko andeko

    Mdada wa watu kakualika ukale futari alafu wewe unabeba kondomu na mkongo

    kwa mujibu wa mafundisho ya UISLAM huyo dada ana makosa kwa kuwa mwanamke haruhusiwi kukaa na mwanaume bila ya uwepo wa jamaa yake na mwanamke kinyume na hapo huyo mbeba ndom na mkongo yuko sahihi maana kaalikwa na mzinifu mwenzie.
  9. bandeko andeko

    Aliyetoa amri ya kubandua plate number za 3D akapimwe akili

    kwa ufupi ni kuwa unapotengenezewa namba za 3D zile namba zako za awali za 2D unabaki nazo, kwa hiyo ni suala la kuziweka tu.
  10. bandeko andeko

    FT: Azam FC 2-1 Yanga SC | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | 17.03.2024

    leo tutalala kwa raha kabisa maana mtaani hakuna kelele kabisa
  11. bandeko andeko

    Kuna mambo nilikuwa nafanya wakati wa ujana yananitesa

    mbona kaburi limefukuliwa design ni mgawa samvu.
  12. bandeko andeko

    Madai ya Janeth Shayo, Mkazi wa Uru, Moshi, kutosikilizwa

    Hongera sana Dkt. Gwajima D kwa kulitolea ufafanuzi suala hili ingawa taarifa ya polisi imetoka kwa kuchelewa inaweza kutengeneza dhana kuwa ilitolewa baada ya kusomwa hapa JamiiForums.
  13. bandeko andeko

    Nasubiri awe mume ndio nimpe tunda

    usipoteze muda wa huyo kijana wewe tengeneza uhusiano na kaka yako maana ndiyo mahusiano unayoyahitaji.
  14. bandeko andeko

    Nashindwa kumsamehe huyu mpenzi wangu

    ushautua huo mzigo wa misumari kwa gharama ya 400,000/= kwanini unataka kuurudisha na viashiria vyote vya hatari ushaviona? tumia akili usitumie hisia.
  15. bandeko andeko

    Maisha baada ya usaliti

    ushajua hilo na bado unataka kuendelea naye hii si sawa unless wewe ni GIGOLO.
  16. bandeko andeko

    Pambano: Nchi gani iko juu kwa wanawake wenye mpindo mzuri ama miili mizuri yenye makalio ya viwango kati ya Wanyarwanda na Waganda?

    ukitaka uzuri wa sura na shape (namba 8) nenda rwanda ila ukitaka mizigo ya haja nenda fort portal (uganda).
  17. bandeko andeko

    INAUZWA Jipatie TV, redio, home theater, pasi, majiko soundbar na vingine vingi kwa bei ya store

    Steve96 hisense fridge 263 ltrs non frost ni kiasi gani?
  18. bandeko andeko

    Je, utafanyaje kama umemtongoza mke wa rafiki Yako na amekukataa?

    njia zile zile unazozitumia kuwasema mashabiki wa simba.
  19. bandeko andeko

    Kusomesha watoto shule za private ni matumizi mabaya ya fedha

    tujifunze kutovitia hila vitu ambavyo aidha hatuvipendi kwa utashi wetu binafsi au hatuwezi kumudu kuvigharamia kutokana na kipato au kwa kukosa 'connection'.
Back
Top Bottom