Twende pamoja vuta picha imeibiwa au limetokea janga lolote la ghafla kama moto,mvua kubwa apooo utamlalamiliaje mtu
Ndoo mana nasisitiza Jenga dhana chanya zaidi ukitaka kuchangia hoja
That's your view....Kuna jambo hujaangalia hapa
Mzize katoka mtaani huko iringa Moja kwa Moja Yanga senior team, msimu ulofata first team
Huyu mchezaji ni mzuri sema anatakiwa ajengwe zaidi kisaikolojia ana vitu kamzidi kibu
Thamani huoni ....mtu kaanzisha Uzi,kafikiria na katumia bando
Kakoswa kusema karatasi tu unaomponda...Tujitahidi kufikiri chanya apo unamrekebisha tu tunapita hivi
Elimu ni muhimu maishani..Pia kingine Tambua Kila mtu ana njia yake ya kutoboa usilinganishe matajiri hao wachache ambao hawakufika mbali kielimu .
Kuna jambo amegusia hapo anapenda watoto wake wafike mbali kielimu bado anapenda kujifunza manake vitabu,majarida n.k wanapitia Sana watu wa...
Katika maisha kila mtu ana namna yake ya kuishi hivo usilazimishe mtazamo wako uzingatiwe na Kila mtu (Usiforce tufanane). Ikiwa wanayofanya Yana manufaa waache tu Kama sivyo wataona tu njia sahihi ya kuacha (Mazingira tu yatawafanya wabadilike)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.