Nakubali hii pia inaweza kua sababu, ila ni mara chache sana hutokea.
Yaani from no where mtu umemtoa chini, ukampigania hadi akatoboa then akageuka kua adui baada ya kutoboa bila sababu yoyote? Hapana.
Tujirekebishe kidogo tusiwalaumu saaaana tuliowasaidia, tuangalie na matendo yetu yalikuaje...
Ukiwa unataka kumsaidia mtu hakikisha humnyanyasi wala humtesi katika mchakato wa kumsaidia.
Mara nyingi kugeukwa au kuzungukwa na uliemsaidia sababu hua ni kisasi.
Sioni kosa kuuuuubwa sana la DED. Hawa watoto wenyewe hii michezo wanaipenda, na hata sheria ya ndoa inaruhusu kwa umri wake.
Kinachoonekana hapa kikubwa ni changamoto ndani ya ndoa ya DED, so mke wake ameona hii ni kama escape plan ya kuachana na mwamba achukue 50% yake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.