Habari wa jf
Kuna mtu yoyote mwenye idea au kufahamu kuhusu biashara ya mifupa ya samaki, ngozi na mabaki mengine, maana kuna mahali naweza kupata zaidi ya tani 5 kwa siku.
Naomba mwenye uzoefu au kujua soko au fursa na kitu cha kufanya kupitia mabaki ya samaki.
Nahitaj mwanamke yeyote umri sichagui lakin usiwe mnene, kwa ajili ya kuridhishana kimapenz tuu, tutasaidiana panapowezekana.
Sihitaj mahusiano ni pale tunapohitajiana tuwasiliane tofaut na hapo tusiwasiliane.
Pm iko waz
Habari ya muda huu,
Nakodisha ambulance kwa miradi mbali mbali au hospital binafsi, pia nafanya usafirishaji wa miili ya marehemu toka sehem moja kwenda nyingine.
Napatikana Dar es Salaam
Kwa maelezo zaidi piga 0623900700
Habari ya muda huu, matumaini yangu nyote ni wazima.
Binafsi namshukuru mungu ni mzima wa afya.
Lengo kuu la uzi huu ni nahitaji mtu mwenye pikipiki au mwenye uwezo wa kununua pikipiki tufanye biashara kwa mkataba usiozidi miezi sita niwe nimerudisha pesa ya pikipiki na faida kidogo.
Binafsi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.