Mam
Ndugu mambo yapo mengi tu duniani yanayoamiwa na watu bila ya ushahidi wa kutosha...usionee Quraan tu, hata uwepo wa mungu tu hauna ushahidi wa kutosha lakin still unaamini yupo..
Timu mnaleta ninyi katika mazingira ya kawaida watu kutofautiana tamaduni, mitazamo, dini, idikadi za kisiasa na mengineyo ..ni kawaida sana hivyo kama unaona hapafanani na wewe ondoka tu au jaribu kuwa na tolerance na utaratibu wa eneo husika..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.