Search results

  1. Mwandwanga

    Kingolwira Morogoro

    Disemba ya Mwaka gani?
  2. Mwandwanga

    Dr. Mponjoli: Police smash alleged luxury car theft ring

    Vipi Mungu wa Dunia hajawa the same Dr? Maana ni kama chura alipigwa teke.
  3. Mwandwanga

    Ni wakati wenu huu tambeni

    Mungu kawaumbua
  4. Mwandwanga

    Ni wakati wenu huu tambeni

    Mungu kawaumbua
  5. Mwandwanga

    Ni wakati wenu huu tambeni

    Mungu kawaumbua sana waimba pambio za kutaka awe Rais wa kudumu.
  6. Mwandwanga

    Kwanini Mungu hakurekebisha kilichosababisha shetani akaasi kabla ya kumuumba binadamu?

    Kama ana uwezo wa kuyafahamu ninayoyafikiri na kuwaza kwanini asibadilishe mtazamo na fikra zangu kabla sijakosea zaidi?
  7. Mwandwanga

    Kwanini Mungu hakurekebisha kilichosababisha shetani akaasi kabla ya kumuumba binadamu?

    Mkuu si ungekanusha kwa kufafanua hizo Hadithi na Qur'an.
  8. Mwandwanga

    Ole Mushi: Waziri Nape asiruhusiwe kuruka na chopa kuhamasisha anuani za Makazi

    Sasa hii unaona ni matumizi madogo ndugu yangu?
  9. Mwandwanga

    Ole Mushi: Waziri Nape asiruhusiwe kuruka na chopa kuhamasisha anuani za Makazi

    Unafahamu ni Chopa ya aina gani inayoenda kurushwa au una andika kufurahisha umma? Chopa inayoendwa kurushwa ni AIRBUS H225M Super Cougar. Imekuwa designed kwa mission zenye uhitaji haswa, ni highly sophisticated military asset. Hii Chopa siyo sawa na vile vichopa vya kwenye kampeni za...
  10. Mwandwanga

    Chuo Kikuu cha Waislamu Morogoro chatuhumiwa kutoa adhabu ya viboko kwa wanachuo

    Weka hapa ushahidi kuwa Mtume alimla mate Mwanaume pia na hii ya kusema Mtume alikuwa anasugua sugua kwenye mapaja.
  11. Mwandwanga

    Kuna Dada anauza uji soko la Stereo, leo kapigwa marufuku kwa kuwa ni msimu wa Ramadhani

    Huu ndio mwezi ambao waume zenu wanaruhusiwa kufanya haya kama Mudi alivyo kuwa anafanya? Hadithi 298 Anasimulia Aisha Mke wa Mtume Mimi na Mtume tulikuwa tunaoga katika chungu kimoja tukiwa junub. Wakati wa hedhi, alikuwa akiniamuru nivae izar na alikuwa akinipapasa. Nikiwa itikafu alikuwa...
  12. Mwandwanga

    Mchungaji aliyedai kuvunjiwa Kanisa Zanzibar afunguka. Serikali yatangaza kumsaka, yasema ni nyumba siyo Kanisa

    Unaongopa, Uislam unataka kila mtu awe Muislam nje ya hapo wewe ni KAFIR
  13. Mwandwanga

    KASHFA: Serikali yawanyang'anya wamasai ardhi na kuwapa DUBAI ROYAL FAMILY

    Mwaka huu imerudi tena kabla ya Uchaguzi mkuu wa 2025, ni kwanini ipo hivi?
  14. Mwandwanga

    Huu ulinzi wa VIP protection wa Freeman Mbowe unafikirisha walinzi walikuwa pale ambapo Mbowe hakuwepo?

    Ukitaka kupata mtiririko ulio nyooka, ungechukua mahojiano yote toka pale Kibatala alipokuwa anajenga msingi wa swali lake. Kwenye sheria hawadokoi hoja moja na kuisimamia kidete kama unavyotaka iwe hapa.
  15. Mwandwanga

    St. Francis Mbeya kuna siri gani?

    Kuandika kwa usahihi ni changamoto kwako halafu bado unataka tuamini wewe ulifeli kwasababu hukununua mitihani?
  16. Mwandwanga

    IGP Sirro, kuna Polisi watatu Tip Top barabara ya kuelekea Mabibo wanakusanya rushwa

    Kuna Mwingine tupo hapa Sinza Mapambano jirani kabisa na Yard ya Mwanamboka, Mrefu Mweupe anakusanya Rushwa kama katumwa yaani. Hivi ninavyo andika katoka pokea rushwa ya 5000 kwa Kondakta wa Daladala ya Makumbusho Posta via Shekilango.
  17. Mwandwanga

    Rais Samia, usijenge Bandari ya Bagamoyo utaiua nchi kabisa

    Mngetumia energy hii hii kushauri Rais asijenge Uwanja wa Ndege pale Chato ingependeza.
Back
Top Bottom