Search results

  1. Jbst

    Kwa muendelezo unavyoenda yale yaliyomkuta Manji yataenda kumkuta Glezabhai

    Me ni yanga ila huyo muhindi hayawezi mkuta ya manji , serikal sio wajinga kias hicho kumbuka ameajiri watanzania zaid ya 25k akifunga viwanda utawapeleka wapi hao watu? Serikali inalijua hilo ataondolewa tu simba ila sio kufikia ile hatua ya manji
  2. Jbst

    Mbowe anapaswa kukemewa na kila mpenda demokrasia, anaibomoa CHADEMA

    Na ana machawa wengi sana, vijana wa chadema wote wanamlamba miguu. Huwa nashangaa sana yerrico nyerere anavojifanya na misimamo ila kwa mbowe anakuwa mpumbavu na kuna yule maranja takataka kabisa ni chawa na mlamba matako wa mbowe. Hawa vijana mbowe anaweza kuwaomba hata visivyoombwa na wakamtii
  3. Jbst

    Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

    Huu uzi ufutwe tu jamaa anadhalilika
  4. Jbst

    Mfungaji Bora Apewe Fei Toto Salumu( FTS)

    Naongezea takataka kabisa huyu mpuuz
  5. Jbst

    Mambo matano ya Hayati Rais Magufuli yaliyoshtua Dunia

    Huyu kila alipokua na ziara nilikua nafuatilia sana ataongea nn, toka nijitambue jiwe ndo rais pekee aliyenifanya nimfuatilie kila atakapoonekana. Nashangaa saiv hata sinaga habar na kumfuatilia rais
  6. Jbst

    Jamal Musiala Vs Jude Bellingham unaenda na nani?

    Holding na Central midfielder ni vitu viwili tofauti na majukum tofauti kabsa uwanjan
  7. Jbst

    Jamal Musiala Vs Jude Bellingham unaenda na nani?

    Uongo mtupu na huwenda haufaham mpira ila umejiandikia tu. Xavi hajawai kuwa holding midfielder ila alikua ni Central midfielder. Naweza kukupa sifa za baadhi ya viungo ili ujue kutofautisha maana haufahamu. Holding midfielder-- muda mwingine unaweza muita deep lying midfielder huyu ni kiungo...
  8. Jbst

    Jamal Musiala Vs Jude Bellingham unaenda na nani?

    Xavi alikua Central midfielder ukiongelea mambo ya namba 6 ni vitu viwili tofauti na Central midfielder.. lampard alikua attacking midfielder na sio namba 8 kama unavosema
  9. Jbst

    Anayofanya Christina Shusho ni matokeo ya Wanaume wengi kuoa Wanawake Watumwa wasio huru. Siku wakipata Uhuru wao hayo ndio hutokeaga

    Toka uoe umekua mjinga taikon!!!samahan sjui huyo binti kimoso amekufanya nn aisee maana huyu sio ww kabisa
  10. Jbst

    Natafuta mwalimu wa martial art

    Mimi pia natafuta mwalimu nipo dar
  11. Jbst

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    P p p PP
  12. Jbst

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    lp
  13. Jbst

    Ni wakati wa Musonda kuondoka Yanga

    Nafikiri mwamnyeto ndo aondoke yanga ni. Mchomaji sana, mechi zote ikitokea penat yeye ndo anasababisha, alafu ni mzito na sio mzuri kabsa kwenye 1 vs 1. Mwamnyeto ni mzuri tu kwenye kuamzisha mashambulizi kitu ambacho mabeki wote wa yanga wanacho hata Gift Fred ni bora kuliko bakari ni basi...
  14. Jbst

    Ni wakati wa Musonda kuondoka Yanga

    OO
  15. Jbst

    Ni wakati wa Musonda kuondoka Yanga

    Msonda utampenda pale team inapofanya pressing ni vigumu sana kupata mchezaji anayejituma kama yeye .. musonda aachwe ila aongezwe striker mzuri zaid kwenye finish wacheze pamoja zile game ngumu zaid utampenda zaid musonda jinsi anavojituma
Back
Top Bottom