Mgogoro uliodumu takribani miezi mitatu umesababisha waumini wa kanisa Anglikana kutoka dayosisi ya mpwapwa wa makanisa ya Mlali, iduo,chiwe, nghumbi, ihanda na moleti kupelekea kuanzishwa Leo tarehe 10 Desemba 2023 ikijulikana Dayosisi ya Mlali ikiongozwa na Askofu ELIBARIKI KUTTA
Kiini cha...
crdb wamemkana Emanuel, my classmet pale bush sek , mwamba alikuwa ni mkimya hata hawez kuongea na mtu.
Alishapata ujanja wa kuongea hadi kutukana.
Usiombe likukute. Hii familia inahitaji faraja siyo wakat wa kushangilia matatizo ya mtu. Kuna Leo kwake kesho kwako
Mbona kama unaumia Sana ,, Wenye Simba yetu hatujasusia timu. Sisi siyo mashabiki maandazi eti tushindwe kusapoti timu Kwa kufungwa na utopolo Tena Kwa ulozi wao. Tunaendelea kununua ticket nenda kwenye vituo kashuhudie acha kupiga ramli za jangwani.
Tumeanza SOLD OUT ya kwanza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.