Search results

  1. Sangatitti

    Jimbo la Lupa-Chunya limetawaliwa na CCM tangu uhuru, halina barabara ya lami hata nusu kilometer

    Huyo mwambie aanze kuaga -Mapema. Maana 2025 mama kasema hataki kura zenye damu atakayeshinda ndo atangazwe.
  2. Sangatitti

    Sikujua kama presha ikipanda kuishusha Ni kazi tofauti Na kupandisha presha iliyoshuka

    Pole Sana kiufupi hakuna presha nzuri .iwe kushuka au kupanda. Pia naomba ujitahidi kupungza mawazo
  3. Sangatitti

    Umejifunza nini kuhusu hizi nyumba mbili kati ya Malisa na Tulia?

    Somo Kufanya mambo ni moyo na sio lazima uwe mbunge.
  4. Sangatitti

    Umejifunza nini kuhusu hizi nyumba mbili kati ya Malisa na Tulia?

    Hizi nyumba mbili moja imejengwa na Tulia foundation na nyingine chini ya Foundation ya Malisa . Kuna nguvu kubwa kufanya mambo kutoka moyoni Hingera Malisa Gj pia hongera Tulia
  5. Sangatitti

    B Dozen (B12) achukua nafasi ya Captain G Habash kwenye Jahazi

    Adamu Ana miaka 40+ na B dozen 40+ yrs
  6. Sangatitti

    Watanzania wengi hawapo Flexible, Wengi ni Conservative na hapo ndipo CCM inaposhindia.

    We jamaa ulikuwa kimya , sijui kulea u busy tumekusibiri Sana
  7. Sangatitti

    CHADEMA mpeni Tundu Lissu nafasi ya uenyekiti Taifa

    Mbowe ni Kiongozi mzuri Ila, kiongozi mzuri ni yule anayekubali kuondoka madarakani watu wakiwa bado wanampenda. Tunakushukuru sana Mbowe Mwamba. Ila ebu tumpatie na Lissu tuone atafanya nini. Asante Sana.
  8. Sangatitti

    Wahaya wana Akili sana kiukweli

    Anapaki nini Mwasibu
  9. Sangatitti

    Mbunge wa CCM apendekeza Vyuo Vikuu vianze kutoa Nusu Degree kwa Wanafunzi wanaoishia njiani

    Huyu mnamwita shujaa alikuwa ni akili ndogo na yeye na alikuwa hayupo logical Huwezi kuruhusu watu wenye akili ndogo wapite bila kupingwa MTU Kama huyu anaingiaje bungeni!!! Then unajiita mtetezi wa wanyonge.
  10. Sangatitti

    Kwa style ya viongozi wa namna hii, nchi yetu itaendelea kukaa gizani

    Huyo mbunge mpumbavu hana hekima akili ndogo
  11. Sangatitti

    Kwa style ya viongozi wa namna hii, nchi yetu itaendelea kukaa gizani

    Mshahara wa mbunge ni mil 18 Posho ya kikao kimoja ni laki sita Kiinua mgongo sasahivi kitasoma kuanzia mil 300. So , MTU aliyepo kwenye shibe na akakosa hekima anaweza kujisahau na kunena upumbavu.
  12. Sangatitti

    Mbunge wa CCM apendekeza Vyuo Vikuu vianze kutoa Nusu Degree kwa Wanafunzi wanaoishia njiani

    Inasikitisha Sana nchi imejaa wapumbavu kila kona
  13. Sangatitti

    Mbunge wa CCM apendekeza Vyuo Vikuu vianze kutoa Nusu Degree kwa Wanafunzi wanaoishia njiani

    Sasa hapo bungeni wapumbavu Kama yeye kwanini wasiendeleze biashara zao na wanakaa kukimbilia siasa Huku wakijua ni akili ndogo
  14. Sangatitti

    Mbunge wa CCM apendekeza Vyuo Vikuu vianze kutoa Nusu Degree kwa Wanafunzi wanaoishia njiani

    Tanzania tuna uhaba wa watu wenye Akili na ambao wapo logically I guess hii ni kwa sababu sisi wenye akili kubwa hatutaki Siasa na vilaza kukimbilia siasa. Huyu Mbunge anauliza eti kwanini serikali isitoe nusu degree? Then anajiita mwakilishi wa wananchi. Kid
  15. Sangatitti

    Wahaya wana Akili sana kiukweli

    Kwahiyo kila anayetoka kagera ni muhaya?
  16. Sangatitti

    Wahaya wana Akili sana kiukweli

    We unaandikaga ujinga Sana nakujua tangia 2007 huna mchango Chan ya JF
  17. Sangatitti

    Wahaya wana Akili sana kiukweli

    Wahaya hupatikana Bukoba mjini na Bukoba vijijini. Sasa hao wanaojiuza wanatoka Bukoba ipi? Mureba hupatikana wanyayangiro ambao hujiuza na sio wahaya.
  18. Sangatitti

    Wahaya wana Akili sana kiukweli

    Wanaojiuza hutoka sehemu panaitwa MUREBA sio wahaya isipokuwa lugha zinaendana
  19. Sangatitti

    Wahaya wana Akili sana kiukweli

    Wahaya wapo positive Sana
Back
Top Bottom