Katika soka neno tapeli sio tusi, bali hutumika kumbainisha mtu anaejipatia sifa na umaarufu chanya pasipo juhudi na uwezo wake binafsi kama ilivyo kwa kocha juma mgunda gadiola mnene.
Kibonge huyu toka Tanga, ni kocha mzuri ila sio kocha wa kiwango wanachokitaka mbumbumbu fc, achilia mbali...
Kibu Denis anamvuto gani wa kibiashara? Au unamaanisha anawauzia kina Mangungu dawa za mvuto toka congo? Mtu hana hata ubalozi wa chupi za karatasi, ebu toa pumba zako hapa..mbuzi mmoja wewe
Ni kweli na kitu kinachompa mchezaji bargain power wakati wa usajili ni takwimu zake kiwanjani.. Na mpaka sasa takwimu za kibu Denis niza hovyo, kwa pesa hiyo simba sc wanaweza pata mchezaji productive mzuri kuliko kibu, over!
Nilicheka sana, Baada ya taarifa za kibu Denis kuwagomea makolo kusaini mkataba mpya kisha baadae wakala wake akaingiza siasa za kwamba tapeli hilo la söka linatakiwa na mabingwa wa nchi, Yanga sc!
Kibu Denis hana thamani ya milioni 300 wala mshahara wa laki 9 kwa mwezi achilia mbali mil 15...
Wakati msimu wa 2023/2024 ukiwa unaelekea ukingoni huku mbumbumbu Fc, wakijanasibu kuwa wamepania kwelikweli kufanya makubwa katika dakika za jioooooooooooooooni kabisa za ligi ya NBC, yafuatayo ni mafanikio kutoka umbumbuni mpaka wakati huu msimu ukiwa ukingoni
1. Ngao ya jamii ✅
2. Muungano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.