Search results

  1. ngara23

    Bangi haina madhara yoyote kama tunavyoaminishwa, iruhusiwe

    Madhara yanaweza yawepo lakini sio kama inavyosemwa
  2. ngara23

    Bangi haina madhara yoyote kama tunavyoaminishwa, iruhusiwe

    Bangi haina madhara kama unavokuza Nenda hospital uone wagonjwa wa madhara ya utumiaji tumbaku na sigara
  3. ngara23

    Bangi haina madhara yoyote kama tunavyoaminishwa, iruhusiwe

    Bangi ni zao jema. Cha kushangaza hapa kwetu inapigwa vita na Dola kwenye matumizi na uzalishaji wake. Rwanda jirani yetu ameingiza $3.7 billion Kwa mwaka kutokana na zao hili. Inashangaza tunaruhusu kilimo cha tumbaku ambayo ina madhara makubwa kuliko bangi na Kwa Sasa soko la sigara...
  4. ngara23

    Walisema Sadio Mane amebaguliwa Bayern Munich ila leo Bayern Munich wamempa kazi kubwa ya ukocha Vicent Company

    Mane umri ulikuwa umeenda hajabaguliwa wala Nini. Mzungu hawezi kukubagua kama hufanyi vyema
  5. ngara23

    Ni mwaka wa 6 sasa sijapata ajira ya ualimu TAMISEMI

    Serikali ijaribu kuajiri wahitimu wa zamani
  6. ngara23

    Naishauri Yanga na wachezaji kususia siku itakayopangwa na TFF kutoa tuzo za masharti

    Ndo wanachotaka washindi halali wasipate hizo tuzo. Wanataka wampe fei MVP Sasa wameona kama wakitoa muda huu itazua mijadala. Hizo tuzo Zina kubebana utashangaa ili kubalance mamba Jobe nae anapewa tuzo
  7. ngara23

    Kumsajili Aziz K kwa 400m na akaja kuondoka Bure bila timu kupata chochote ni hasara

    Mbumbumbu tena akijidhihirisha hadharani mchana kweupe pe
  8. ngara23

    Ni lini adui wa mwanamke akawa mwanaume

    Sijakuelewa mwanaume amekuwa amemtawala mwanamke kivipi? Kwaiyo mwanamke yupo kwenye vita ya kufanya mapinduzi kumtawala mwanaume? Unataka mwanamke apewe Nini au apate Nini ndo ujue huu Sasa ndo usawa
  9. ngara23

    Ni lini adui wa mwanamke akawa mwanaume

    Haki zipi zitaje ? Yaani wewe unaamini baba yako anakunyima haki anakudhulumu, kaka yako hakutakii mema, mjomba wako hataki uwe na uchumi mzuri. Mfumo dume ukoje? Uko wapi? Kwaiyo NGOS zinakuja zilete fujo dhidi ya mfumo dume usiokuwepo. Mnataka Nini Kwa wanaume? Wanawake wamekuwa mawaziri hadi...
  10. ngara23

    Ni lini adui wa mwanamke akawa mwanaume

    Haki sawa zipi ambazo mwanamke hapewi? Na anazidai Kwa nani? Na mwanamke akizipata hizo haki itakuwaje? Ni nani mtesaji wa hawa mama, wake zetu, Binti zetu, shangazi, bibi, n.k?
  11. ngara23

    TFF kwa hili la tuzo hebu oneni aibu hata kidogo

    Mambo ya Kizimkazi
  12. ngara23

    Ni lini adui wa mwanamke akawa mwanaume

    Mwanamke kuwa na uchumi mzuri ni jambo jema. Tukisema mwanamke hatumaanishi mtu kutoka mbali , kila mwanaume alipo Kuna mwanamke. Mwanamke ni dada yako, ni Binti, mke, mama, shangazi ambao hao ndo wanawake hata ukigeuka unawaona. Kwa mfano me nataka Binti yangu, dada yangu , shangazi, rafiki...
Back
Top Bottom