Search results

  1. mbenge

    Kwenye maisha Kuna mambo lazima ukubali kua huna na huwezi kuyapata KAMWE.

    Mkuu haijalishi mwanaume awe vipi kimuonekno, cha muhimu tu awe amejipata kimaisha, na kuwa na uhakika na njia sahihi za kupata maokoto. Kuwa "handsome" peke yake hakutoshi kama unajitafuta, huna uhakika na maisha, na wala huna chapaa za uhakika. Fanya kazi kwa bidii, tafuta fursa nzuri na...
  2. mbenge

    Daladala za Mbezi kupitia Manzese, Fire hadi Mnazi Mmoja zimeanza kazi rasmi

    Jiwe aliwahi kutamka kuwa mtamkumbuka kwa mazuri yake. Karma ndiyo imeanza kujibu nini!? Wazee wa Pwani wameshika mpini. Wao na familia zao wanajitengenezea fursa wao wenyewe na jamaa zao wa karibu. Kibaya zaidi itakuwa ngumu kumpata mrithi wa kiti cha utukufu nje ya wigo wao. Uzalendo kwao...
  3. mbenge

    Hivi utaratibu wa mtumishi wa umma akiiba, akikosea/ kufanya kazi vibaya asisemwe, ahamishiwe sehemu nyengine una maslahi gani kwa taifa?

    Watumishi wa umma wapo wapo tu, hawana "annual targets/KPIs" kitu ambacho huwafanya kuishi kwa mazoea. Aidha wapo katika ajira za kudumu kitu ambacho ni tofauti kabisa na waajiriwa wa sekta binafsi. Ni wakati sahihi sasa kwa serikali kubadilisha vigezo na masharti ya utumishi wa umma. Ili...
  4. mbenge

    Tanzania Kuanza Kuuza Maji Ya Miujiza Yaliyopo Hifadhi ya Ruaha, inadaiwa Yanatibu na Kumfanya Mzee kuwa Kijana

    Kutoka vituko vya Loliondo na Kikombe cha Babu mpaka kuelekea Maji ya Kimiujiza ya Ruaha, uzushi ule unaopikwa na serikali, pale inapokuwa imezidiwa kupata majibu ya changamoto mbalimbali, hasa nchi ikiwa katika vipindi vya maandalizi ya uchaguzi
  5. mbenge

    Kwanini Wanaume wananunua dadapoa

    Huo ndio uhalisia wa "missing gap" na kwa kifupi kabisa naweza kusema hivyo.
  6. mbenge

    Baba yangu hakuniachia urithi lakini ndugu zangu wengine wamepewa wote, je nikijitenga na ile familia nakosea?

    Mkuu nenda ukafanye kipimo cha DNA kupitia ndugu zako ili uweze kuujua ukweli wote. Isije kuwa mzee alistukia mchezo fulani na kisha akaja kutambua kachomekewa mtoto kimtindo. Kwa mila za Kiafrika, mtoto wa mwisho mara nyingi ndiye ambaye huwa anapata "lion share" kuliko wenzake. Hivi ujiulizi...
  7. mbenge

    Ushauri kwa uongozi wa TFF

    Je, Kuna timu yoyote ile kutoka Zanzibar iliyoshiriki katika michuano hii!? Je, Kuna makubaliano ya pamoja kati ya TFF na ZFF juu ya uedeshaji wa pamoja wa michuano hii!? Je, Kati ya mashirika hayo mawili, lipi ndilo mmiliki na msimamizi wa michuano hiyo? Je, Kuna muinguliano wa mipaka ya...
  8. mbenge

    Maisha hayana formula

    Mkuu utajiri wa mtu, yaani, "net worth" haipimwi na magari "second hand" kama hilo. Mtindo wa maisha wa mtu binafsi ndio huamua ni aina gani ya gari analolihitaji. Itakuwa ni kichekesho sana kununua gari kama hilo, ambalo ndilo linabeba sehemu kubwa ya "net worth" yako. Si ajabu ndicho kitu...
  9. mbenge

    Mwl. Mpwayunga village

    Mpwayungu Village madeni yamemuelemea, kausha damu wanainyemelea roho yake.
  10. mbenge

    Elibariki Kingu: Nchi hii(Tanzania) Watu Hawalipi Kodi. Marekani Mama Ntilie Analipa Kodi

    Nchi hii ni asilimia ndogo sana ndiyo ambao wanalipa kodi, ama tuseme ndiyo wanaotambulika na kufikiwa na mamlaka za ukusanyaji wa mapato ya serikali. Hawa ni wale ambao wapo katika sekta iliyokuwa rasmi. Asilimia kubwa ya wenye kustahili pia kulipa kodi wamejazana katika sekta isiyokuwa rasmi...
  11. mbenge

    Agano Jeusi

    Mkuu unataka kutoa kitu gani cha bure!? Hii ina maanisha nini!?
  12. mbenge

    Mr Sugu, CCM ni nyumbani kwako kwa sasa, karibu sana

    The one who laughs most, does that last.
  13. mbenge

    Dark days 17/03/20...

    Hidaya binti Hizaya , sasa kaacha ubaya, kawa kama kiazi Ulaya. ,😩
  14. mbenge

    NI aibu mkuu wa nchi kukimbia hoja za kikokotoo Mei mosi na kutuma wawakilishi, hili kwake ni mwiba siku inakuja

    Naye pia atakokotolewa na wafanyakazi kwa kupitia kikokotoo chao kwake 😂😂😂😂
  15. mbenge

    Ukweli mchungu: Zanzibar tunaishi kwa kudra za Tanganyika!

    Mkuu huo ndoyo ukweli wenyewe, lakini hao "chogo bapa" hawapendi kabisa kuusikia.
  16. mbenge

    LIVE Updates za Kimbunga Hidaya: Ulipo hali ikoje?

    Utabiri wa yule nabii Boniface unatimia nini!? Alitabiri kuwa Dar huenda ikachakazwa vibaya kati ya mwezi wa nne ama tano. Alipata maono kuhusu huyu Hidaya nini? Kihistoria huenda miaka isiyopita 100 huko nyuma huenda tufani kubwa kama hii oliwahi kutokea. Kwa nyakati kama hizi maombi ya kweli...
  17. mbenge

    Utata wa siku 3 za Yesu na hesabu zetu

    Ukitaka kutambua kwa usahihi siku ambazo mwili wa Yesu Kristo ulikaa kaburini ni vyema uchunguze kwanza maandiko yanasemaje kuhusu msingi uliowekwa wa maadhimisho ya sikukuu za, a) Sabato ya kila mwisho wa juma, b) Pasaka, c) Pamoja na siku 7 zinazoambatana na Sabato ndogo mbili za maadhimisho...
  18. mbenge

    Hongera sana Kamanda Muliro kwa kuwashikisha adabu Jacob na Malisa

    CCM ni pori tengefu la wezi, wanyang'anyi, wadhalifu, na wahalifu wa kila aina.
  19. mbenge

    Rais Samia: Msije kushangaa mwaka 2030 tukawa na CDF Mwanamke

    Naona sasa akina mama wanataka kuvuka mstari. Kinachoonekana kutafutwa kwa sasa ni wao kutaka kukaa juu ya wanaume na kuwatawala. Nathubutu kusema siasa za upendeleo zinazoendekeza mambo ya kike kike zipo katika maeneo ya nchi za maziwa makuu peke yake. Imefikia vijana wa kiume wa Kitanzania...
Back
Top Bottom