Search results

  1. Redpanther

    Ukipata kitu gani katika maisha utasema umefanikiwa

    Aaaah mama, wivu uwepo ila uwe kidogo basi. Sasa wivu hadi tunashindwa kupewa ma-deal kisa wivu
  2. Redpanther

    Ukipata kitu gani katika maisha utasema umefanikiwa

    Costa tatu zote hizo za nini ? Ukiwa na business ambayo mzunguko wake ni mzuri. Kwa mwezi unakua unaingiza kama 4.5m
  3. Redpanther

    Ukipata kitu gani katika maisha utasema umefanikiwa

    Nikipata mwanamke ambaye hatakuwa na wivu wa kishamba, Ndinga safi, Nyumba na Watoto na Biashara ya kuniingizia angalau 150k kwa siku.
  4. Redpanther

    Kusini mwa Dar es Salaam ni uozo

    Wapelekwe maafande wa Lugalo wwkafanye kazi
  5. Redpanther

    Tuhuma za JWTZ kupiga raia huko Kawe: Tunaomba Waziri wa Ulinzi ajitokezee kukemea, kulaani, na kukataza jeshi kujichukulia sheria mkononi

    Kuna shida kwa wanajeshi wetu. Uwezo wao wa kuwaza na kung'amua mambo ni Mdogo sana na pia ni washamba. Hao raia wanaopigwa na surubishwa ndio waliomuua huyo mkuu wao ?? Hii ndio Shida ya kuchukua form four failure. Uwezo mdogo wa kufikiri kuanzia kwa Ma luetenants. Kulikuwa na shida gani kama...
  6. Redpanther

    GENTA ndiye mwanaume mwenye mvuto kuliko wote JF

    Mkuu kulikoni tena, uzi uanzishe wewe na kufuta uombe wewe.Aaaah brazaaa
  7. Redpanther

    GENTA ndiye mwanaume mwenye mvuto kuliko wote JF

    Huyu ni GENTAMYCINE bila shaka.
  8. Redpanther

    Damu ya kisasi inanitesa

    Acha wasambaze hayo maneno, wewe kama kuwasaidia wasaidie ila usijilazimishe kufanya makubwa. Kingine wewe unapaswa kuwasamehe ila usijisahau sana maana wanaweza kukumaliza hao hao ukiwachekelea ili mkose wote.
  9. Redpanther

    Tapeli kaja kama Mwalimu

    Mbona kama hueleweki kiongozi
  10. Redpanther

    Ubaguzi wa serikali juu watumishi wa Afya walioko TAMISEMI

    Habari za Asubuhi ndugu na wanajambi wenzangu. Ni muda sana sijaweka bandiko hapa JF. Majukumu na kazi za watu zinabana sana kusema ukweli. Naomba niende kwenye mada moja kwa Moja. Mimi ni mtumishi katika moja ya Taasis za serikali katika Manispaa "X" mkoa mmoja maarufu kama Kanda Maalum...
  11. Redpanther

    Machimbo ya totoz mikoani Kwa mnaosafiri leo.....

    Ahsantee kwa kutujari wasafiri.
  12. Redpanther

    An advise to all employees

    Ahsante sana Kiongozi kwa ushauri mzuri.
  13. Redpanther

    Ubinafsi, uroho na tamaa za watawala sheria ya mafao kustaafu katika utumishi wa kisiasa

    Nchi ngumu sana hii, walimu wanalia mishahara ni mibovu haitoshelezi mahitaji ya kila siku alfu kuna mtu analipwa pesa nyingi zote hizo na bado anataka zaidi 😀😀😀
  14. Redpanther

    Anatishia kunywa sumu au vidonge

    Acha nicheke kwanza maana hizo drama za huyu ndugu ni kichekesho tosha. 😂😆
  15. Redpanther

    Matangazo ya chuo cha afya cha Excellent jijini Mwanza yamezidi

    Acha wivu kiongozi, fanya kazi zako achana na shughuli za watu. Unazani serikali hawaoni hayo mabango
  16. Redpanther

    Maneno ya mwisho ya Steve Jobs, bilionea ambaye alikufa akiwa na umri wa miaka 56 kuhusu maisha

    Ukivyomalizia mwisho ndio hovyoo. Ujumbe mzuri mnoo
  17. Redpanther

    Legacy ya Hayati Magufuli yazidi kupiganiwa

    JPM atabaki moyoni mwangu akiwa kama kiongozi wa mfano. Rest in Peace 🕊️
Back
Top Bottom