Boss angetakiwa kumpromote mlinzi kwa kuokoa maisha yake..... wabongo bana..... kamfukuza kazi.... ukiangalia record ya wizi hakuna... kweli wabongo akili maji.
We vp? serikali ni ile inayoamrisha jeshi iwapige wale wazee wa EAC wasio na hatia....... ila serikali si ile inayoamrisha wanajeshi wawache watu wafe na mafuriko.
INSPIRE CONSULTANTS LTD, INAWATANGAZIA CPA(T) - REVIEW CLASSES FOR MODULE E & F AT BIAFRA SEC FROM 9TH JANUARY 2012 FROM 1800HRS TO 2000HRS. WOTE MNAKARIBISHWA.
Contact: Joshua +255 717 043486
Kuna jamaa mmoja anaitwa emmanuel...Duh.. anaongea kwa busara, ila ni mtata kuliko maelezo yaania sehemu yenye kuhitaji sheria analeta excuse, sehemu ya kufanya favour yeye ndio anatumia sheria kukutolea nje....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.