Search results

  1. M

    Status za WhatsApp zinatuonesha jinsi tulivyo na tunajichora tu kwa wengine

    (Binafsi) nimeipenda, mimi nadhani kila mtu ana mtizamo wake katika maisha kama kuna mtu ameamua ku express feelings zake watsap let her or she be ..hatuwez kufanana mwingine atakwambia unaogopa watu ndio maana unasema kujichoresha yeye atasema anaish freely hawaz mwingine anachowaza ...kila mtu...
  2. M

    Ushauri: Ndugu wameharibu ndoa ya dada yangu

    Doh yani hapo sasa kama hela ipo na wapo tayari kufanya DNA waende tu sababu ukijaribu kuangalia kuna utata hapo mwanaume namuelewa na mwanamke namuelewa ila kuna jambo lazima lifanyike kuweka hali ya kuaminiana tena.
  3. M

    Naomba hesabu ya kukokotoa kiinua mgongo

    Hallo wapendwa naombeni msaada namna ya ku culculate kiinua mgongo, mimi nipo kampuni binafsi kwa miaka 8 sasa, hii 2024 nmeanza wa tisa 1. Calculations ya kiinua mgongo 2. Je ukiacha kazi mwenyewe una haki ya kupata kiinua mgongo? 3.Kabla ya kuacha kazi mwenyewe kabla ya mkataba kuisha nini...
  4. M

    Kesi ya Mirathi ya Dkt. Likwelile: Vicky Kamata ashindwa, mahakama yasema ndoa yao haikuwa halali

    Pole sana Vicky Kamata!! Pole nyingi kwa watoto wa marehemu kwa kipindi chote cha kutafuta haki yenu na hongereni kwa ushindi ..Hongera na mahakama kwa maamuzi walitotoa ila Dada Vicky kama bado una ukakasi na kudai kuna mahali zako ulichangia naamini mahakama zetu haziangalii cheti cha ndoa tu...
Back
Top Bottom