jamani chit-chat besides jamani nakiu mwenzenu..,.dah! Mambo gani haya sijanywa bia wiki ya tano hii jamani!!! Kah sio vizuri hivo kubaniana jama...najua leo ni bize monday lakini hata tubia tuwili tu jamani?!...hebu acheni unoko huo wa kubaniana jama ebo..!! Kwani jamaa angu ukinipa tubia...
UKIPENDA hakuna anaeamini km unapenda, UKIUMIA hakuna anaehc maumivu yako, UKILIA hakuna anaethamini kilio chako, ila BANJA sasa uone!! kila mtu JICHO KWAKO!!!
Afisa m1 kaenda kwenye shamba la miti kukagua. Msimamizi akamwambia usiingie sasa hivi! kabla hajafafanua yule Afisa akatoa kitambulisho cha kazi 'we nani wa kunizuia na hiki kitambulsho?'' Jamaa akamwambia pita. Kupita tu akaanza kupiga makelele: nyukiiiii! nakufaaa nyukii nisaidie,! Jamaa...
mysteryman 18:53 Today
wakuu ninahitaji mkopo wa milion
moja wenye riba nafuu.....nitarejesha
baada ya miezi minne na uwezo
wangu au riba isizidi laki tatu kwa
miezi yote minne.....nina kiwanja kipo
kinyerezi, kadi ya gari au leseni na tin
namba ya biashara.....vyote vyaweza
tumika kama...
wakuu ninahitaji mkopo wa milion moja wenye riba nafuu.....nitarejesha baada ya miezi minne na uwezo wangu au riba isizidi laki tatu kwa miezi yote minne.....nina kiwanja kipo kinyerezi, kadi ya gari au leseni na tin namba ya biashara.....vyote vyaweza tumika kama bondi.......mwenye uwezo wa...
pc yangu haipeleki moto ktk monitor ukiwasha inawasha kama indicator ktk kile kitaa chake.......
hii monitor ukiunga na pc nyingine inawaka.......tatizo nini wakuu?????
It's beautiful, your honesty
You cry when you need to
You say what you feel
You're never afraid to wear you heart
on your sleeve
You're always so open with me
It's in your voice, I can hear it
The sound of a woman in love
[Chorus:]
Only a woman can love you so much
Give you her life...
jamani jf inamatatizo ya kiufundi??? mana toka jana kila nikifungua hola!!!!nakutana ujumbe huu.......The server timed out
You tried to access the address
https://www.jamiiforums.com/ ,
which is currently unavailable.
Please make sure that the web
address (URL) is correctly spelled
and...
Naamini wanaume wengi huwa hawakapendi haka katabia....unakuta umepanga kuonana na mdada labda geto au mmepanga na mmekutana sehemu lakini muda si muda utaskia mdada anaanza mara ooh unajua mi sikai sana nataka kuwahi, mara ooh ntatafutwa nyumbani...mtu ushakua kwenye mood nyingine afu na yeyd...
Kila kitu kina hitaji backup hapa duniani kama ilivyo gari na spearwheel hali kadhalika ktk mapenzi kuwa na spea tairi ni muhimu....so kwa mdada, mmama au mlimbwende mwenye kuhitaji spea tairi nipo hapa...
Sijui ni kwangu tu au ni kote...yani chanel 10 sauti iko chini sana yani ukitaka kusikia inabidi uweke sauti mpaka mwisho ndo unaskia sauti ya kawaida...sasa kivumbi usahau ubadilishe chanel nyingine bila kupunguza sauti unaweza kimbia......kama kuna wanaohusika hapa tafadhali tatueni hilo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.