Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Indonesia mwenye makazi jijini Kuala Lumpur, Malaysia Mheshimiwa Dkt. Ramadhani Kitwana Dau amewasilisha Hati za Utambulisho (Letters of Credence) kwa Rais wa Jamhuri ya Indonesia Mheshimiwa Joko Widodo katika sherehe zilizofanyika siku ya...
Alihusika moja kwa moja kwenye maamuzi ambayo wenzake jana wamefukuzwa kazi
Lakini cha ajabu yeye hakusimamishwa wala hakufukuzwa kazi
Tunajua ni mtoto wa Waziri kwenye serikali lakini ana mahusiano gani na Mkurugenzi mkuuwa NSSF?
BURIANI MZEE KITWANA KONDO
Ramadhani K Dau
Siku ya Jumatano tarehe 24 Mei 2017 ni siku ambayo itakumbukwa na Watanzania wengi na haswa Waislamu kwa kuondokewa na mzee wetu Alhaj Kitwana Selemani Kondo maarufu KK au mzee wa mjini. Siku 4 kabla ya kifo chake, mwanawe wa kiume Bwana Adnan...
Magazeti haya haya yalisema NSSF imefilisika na kwamba Mkurugenzi Mkuu mpya kaachiwa fupa
Ina maana kuondoka kwa Dr Dau NSSF miezi 9 ndio mafanikio makubwa Kiasi hiki? Kutoka kuwa Fupa Hadi kuwa Imara kifedha na balance ya TRILLION 7 Kwa mpaka 2085?
Kwa miradi gani mpya iliyoanzishwa na yenye...
Naomba bora niweke wazi maana ya kutumia neno "OUR MAN".
Definition of our man in —— in English:
our man in ——
NOUN
One's representative or envoy in a specified place.
Baada ya kufafanua hayo, ni wazi kuwa huyu ni mtumishi muhimu wa wananchi wa Tanzania na serikali hii.
Yaaani ni siku...
Bodi mpya ya NSSF imeridhia maombi toka kwa Bosi mpya wa NSSF kuwa wakurugenzi na mameneja wasimamishwe kazi kupisha uchunguzi wa tuhuma mabali mbali.
Lakini cha ajabu wakati wameneja na wakurugenzi wamesimamishwa kuna huyu mwana mama (EUNICE CHIUME) ambaye ni Meneja Kiongozi ambaye alikuwemo...
Katika hali isiyo ya kawaida waziri wa Nishati na Madini amegoma kupita kwenye VIP ya uwanja wa ndage wa Dar alipokuwa anaondoka na kurudi toka Uganda ambako alikwenda kukamilisha na kutia sahihi mkataba wa Bomba la mafuta ambalo litapitia Tanzania
Naamini kuwa huyu waziri kweli ni Man of the...
Mheshimiwa Rais, kwanza nakuamkia shikamoo na hongera sana kwa kuliongoza na kulisimamia ipasavyo taifa letu hili pendwa la Tanzania, sisi wananchi wako wa huku Liwale hasa kata hii ya Mpiga miti tunafarijika sana na mwenendo mzuri wa serikali hii ya awamu ya tano unayoisimamia.
Mheshimiwa...
Kama mnavyojua NSSF imekuwa ikituhumiwa kuwa ina udini na baadhi ya magazeti na wachangiaji wa mtandao huu wa Jamii forums bila kuleta ushaidi wowote kuthibitisha hizo tuhuma kama huu uzi ulioanzishwa hapa Jamiiforums na umefika kurasa zaidi ya 30 bila mtu kuleta ushaidi wa hizo tuhuma.
NSSF...
SIKU SITA ZILIZOPITA Waziri wa Kazi na Ajira, Jenista Mhagama alikutana na baraza la uwezeshaji wananchi wa Tanzania kiuchumi (NEEC) ambalo majukumu yake ni kuwawezesha wa Tanzania kiuchumi na kupunguza tatizo la ajira Tanzania. Na Akasisitiza na kutoa amri kuwa serikali ya awamu ya tano ya rais...
Mheshimiwa Rais,
Waziri wa mambo ya ndani ya nchi ana mamalaka makuu sana nchi hii na moja kati ya majukumu yake ni kusimamia na kuhakikisha usalama wa wa Raia na nchi kwa ujumla. Hali kadhalika waziri huyu anasimamia Idara nyeti ya Uhamiaji ambayo wiki iliyopita alibadilisha baadhi ya...
Mheshimiwa Rais,
Naomba urejee taarifa kwenye vyombo vya habari, SIKU TANO ZILIZOPITA.
Waziri wako wa Kazi na Ajira, Jenista Mhagama alikutana na baraza la uwezeshaji wananchi wa Tanzania kiuchumi (NEEC) ambalo majukumu yake ni kuwawezesha wa Tanzania kiuchumi na kupunguza tatizo la ajira...
Kama kathubutu kuhatarisha usalama wa nchi na kutoa nafasi ya Ukurugenzi mkuu wa NSSF kwa raia wa kigeni (UGANDA) najiuliza maswali mengi ambayo hata majibu sina
Huyu waziri wa Rais Magufuli allegiance yake iko wapi?
Nashauri kitengo cha ya counter intelligence pale TISS wammulike na wapitie...
Magazeti ya leo yamemwandika kuwa Kigogo wa NSSF Bwana Crescentius Magori alitakiwa kuwa ni mfano wa kuigwa kwenye utumishi wa Umma lakini hizi habari kuwa amevunja ndoa ya kiongozi mkuu kwenye serikali ya Magufuli zinatia kinyaa na ni kinyume na miiko ya maadili ya watumishi wa Umma.
Nadhani...
Ninashindwa kuelewa kwa nini maadui wa Dr Dau wameshindwa kujenga hoja kuhusu utendaji wake pale NSSF na wamejikita zaidi kwenye kumtuhumu kuwa ni Mdini
Sasa naomba mwenye ushaidi kuhusu Udini kwenye ajira au vinginevyo auwasilishe hapa tuu chambue
Wakati huo huo mimi ninaweka wazi mashirika...
Askofu Dkt. Frederick Shoo,
Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania,
S. L. P 3033
Arusha
YAH: PONGEZI KWA KUCHAGULIWA KUWA ASKOFU MKUU WA KKKT
Baba Askofu, ninaandika kukupongeza kwa kuchaguliwa kuwa Kiongozi Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania katika kikao cha 19 cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.