Search results

  1. Offshore Seamen

    Nionyeshe demu wa kisambaa mwenye shepu na kalio nikuonyeshe bikra mzee

    Wakina mgosi wakifika Mombo watakujibu swali lako
  2. Offshore Seamen

    Tunaotegemea kugombea ubunge 2025 njooni tuweke mikakati yetu hapa binafsi nagombea jimbo la Mbozi

    Huyo mbunge wao somebody mwalimu Haonga hakuna alichogusa, upande wa Vwawa Hasunga kaweka mizizi inabidi financial ujipange sana
  3. Offshore Seamen

    Kampuni ya Adani yasaini Mkataba wa miaka 30 kuendesha Gati ya 2 ya Bandari (Zamani TICTS)

    Adani watakuwa wakiendesha gati namba 7 mpaka 11. TICTS ya zamani
  4. Offshore Seamen

    Kunani media za kibongo haziripoti sana habari za uchaguzi wa Afrika Kusini?

    Hawana waandishi mahiri wa kuchambua siasa za kimataifa. Clouds naona wamepeleka watu wanaripoti. Wanapenda habari za udaku, ndio umahiri wao ulipo
  5. Offshore Seamen

    Tunaotegemea kugombea ubunge 2025 njooni tuweke mikakati yetu hapa binafsi nagombea jimbo la Mbozi

    Wewe Jimbo la mbozi magharibi ndio rahisi kwako, upande wa Mlowo
  6. Offshore Seamen

    Msaada: Mtoto wangu wa kiume wa miezi saba haoneshi dalili ya kusimamisha uume

    Miezi 7 unampa dawa za masai, haupo seriously
  7. Offshore Seamen

    Kenya na bus lao ambalo lipo kama meli

    Amphibious Vehicle hiyo nchi za ulaya zipo tangu miaka ya nyuma. Miaka ya 2018 kuna mzungu alienda Mombasa na Jeep Panther ambayo inatembea kwenye maji(Amphibious vehicle) wakenya waliweka habari wiki nzima. Baadae yule mzungu alikuja Tanzania na hiyo gari alikuwa maeneo ya Sleep way
  8. Offshore Seamen

    Ikitokea Umepata Mil 180 leo, Haitoshi kulipa Ushuru wa Range Rover ya 2024

    Haisaidii kitu ulipo wapo TRA, upitishe kwa Border,Bandari au Airport lazima ushuru utalipa. Gharama za Bandari ni ndogo sana iwe Mombasa,Dar,Maputo au Port Elizabeth. Pesa kubwa ni ushuru
  9. Offshore Seamen

    Ikitokea Umepata Mil 180 leo, Haitoshi kulipa Ushuru wa Range Rover ya 2024

    Wengine wananunua hayo yanaingia Bongo na ushuru wanalipa kidogo au wanatumia loop za Kuagiza kupitia taasisi za kiraia,kampuni ili kupata tax relief
  10. Offshore Seamen

    Ikitokea Umepata Mil 180 leo, Haitoshi kulipa Ushuru wa Range Rover ya 2024

    Utakutana na TRA pale Namanga au Horohoro one stop centre. Mombasa utalipa Port charges ila utapopita border yoyote lazima ulipe kodi
  11. Offshore Seamen

    Hawa wanaJF wanachekesha sana kwenye post zao

    Katia avatar ya Ringo Makinitoshi
  12. Offshore Seamen

    Faida za Uwekezaji wa DP WORLD Bandarini zaanza kuonekana, Hongera Mama

    Bandari gharama anazo charge zipo fixed kwa kila huduma, gharama kubwa kwa sasa ni kwenye kusafirisha ambapo shipping line wameongeza
  13. Offshore Seamen

    Faida za Uwekezaji wa DP WORLD Bandarini zaanza kuonekana, Hongera Mama

    Freight Charges ndio zimepanda, anayekusanya ushuru Bandarini ni TRA. Bandari au DP World kazi yake ni kuipa meli nafasi ya kushusha/kupakia Container. Bandari anakutoza wharfage na Handling charges. Jaribu kupitia TPA Tarriff Book utaona gharama za lift on/lift off, Container...
  14. Offshore Seamen

    Je, nikimnyima tendo nitakuwa sawa?

    Muwekee speed governor, tia mafuta ya taa kwenye chakula chake
  15. Offshore Seamen

    Pamebadilika, unapakumbuka?

    Moro Best,Al Saedy,Chimpanzee hizo ndio basi zilizokuwa zikivuka na Maroli ya Master One yakiwa na mitiki
  16. Offshore Seamen

    Pamebadilika, unapakumbuka?

    Mto kilombero Hapo pembeni kulikuwa na wauza samaki na ndizi
  17. Offshore Seamen

    Yamenikuta! Starehe mbaya sana...

    Malecture hawawapi kazi za kutosha
  18. Offshore Seamen

    Prof. Mukandala: Meli ya MV Bukoba ilifanya kazi Tanzania kwa miaka 17 bila kusajiliwa na haikupaswa kuletwa nchini

    Melini anayesimamia zoezi la upakiaji mzigo na kuandaa Stowage plan ni Chief officer na anakuwa kila baada ya muda fulani anasoma Draft mark za meli kujua mzigo upo kiasi gani na wapakie upande upi ili kuweka usawa katika meli
Back
Top Bottom