Padri amekaa katika ki-box cha kuungamisha, kanisani hakuna mtu. Mara muumini mmoja akaingia, akapiga magoti upande wa pili na kufanya ishara ya
msalaba akaanza kuungama.
"padri naungama dhambi zangu, leo nimefanya dhambi kubwa sana "
"endelea"
"bosi wangu aliniita nyumbani kwake akaniambia...
Jambazi aliingia kanisani na bunduki, akasema wanaosema wanampenda YESU wabaki humu na wasiompenda watoke nje. Waumini wote wakatoka nje, ndani akabaki mchungaji tu na wazee wawili. Jambazi akamgeukia mchungaji na akasema, "Mtumishi unaweza kuendelea na ibada, nilitaka kukuondolea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.