WanaJF nimevutiwa sana na hiki kipande kutoka katika taarifa ya Wizara ya Mambo ya nje kuhusu Sherry Party iliyofanyika Ikulu 10-2-2017.
“Mhe. Rais Magufuli ametoa shukrani hizo leo wakati wa hafla ya kuukaribisha mwaka mpya (Diplomatic Sherry Party) iliyofanyika Ikulu, Dar es Salaam kati yake...
Nimepaza sauti kwa muda mrefu kuunga mkono mabadiliko - ama uhuru wa pili wa Tanganyika. Lakini baada ya kuchunguza kwa makini propoganda machine ya CCM, nikiri bila kumung'unya maneno kwamba nimeamsha mikono! Tuiache itawale milele kama ambavyo makada wamekuwa wakitamba.
Kwa nini nimeamsha...
Ni furaha kubwa sana na inatia matumaini kusikia Mhe JPM mara kwa mara akisisitiza "msemakweli ni mpenzi wa Mungu" na pia kuibainisha kama mtu anazingatia sheria katika utendaji badala ya kuedekeza siasa (anayaita mavyama, japokuwa ni mavyma hayo hayo ndio yalimwezesha kuukwaa urais). Hadi hapo...
Kwanza niwapeni pongezi mlioshinda na pole ambao kura hazikutosha (au zimechakachuliwa). Kama ambavyo tulikuwa tukielimishana wakati wa kampeni ni kwamba kuna maisha baada ya uchaguzi. Demokrasia na hususan demokrasia ya Afrika ni demo crazy kama hayati prof Chachage (rip) alivyoibatiza. Katika...
Ndugu Watanzania na watangayika, wakati tukisubiri maziko rasmi ya mzee wetu Mhe Prof Dkt CCM hapo Ocktoba 25, sio vibaya kujikumbusha tulikotoka na kwa nini tuna kila sababu ya kufutilia mbali hizi fikira za old stone age (OSA).
Hii ni picha ambayo nitaitunza na kuwaonesha wajukuu na vitukuu.
Kila anayepinga udhalimu maigizo ya serikali ya CCM, yaani mpenda mageuzi ya kweli, hana budi aangalie hiki kibao cha Kala Jeremiah ft. Roma.
Nimefarijika sana kuona kwamba kuna wana wa kizazi kipya na hususan wasanii ambao wanaweza kuelimisha jamii kwa kutumia usanii wao. Hawa hata wakitia nia...
Wahenga walinena "Lila na fila havitangamani".
Vivyo hivyo ufisadi na uzalendo havitangamani.
Tanzania, ama ukipenda iite Tanganyika na Zanzibar, kama taifa tumekabiliwa na maadui wakuu kadhaa tokea tupate uhuru. Katika miongo kama miwili, mitatu ya mwanzoni tuliweza kubaini maadui wakuu...
Tumezisikia nasaha za Mwenyekiti wa CCM kwamba 'chama kwanza, mtu baadaye'. wanaUKAWA tunasema 'taifa kwanza, chama baadaye.'
Mwananchi KULA CCM, KURA UKAWA, OKOA TAIFA:)
Nimekutana na hii makala nikaipenda. Hii ni nukuu ya kipande. Futa neno Zimbabwe na badala yake weka Tanzania uone unapata nini:
"One more thing perhaps the most important: Zimbabweans are not drunkards, I can safely generalize. This is not to say they dont drink; only to say that if they...
Nianze kwa salamu: UKAWA, TUMAINI LETU.
Ninaunga mkono juhudi za UKAWA za kuleta mageuzi ya kweli (ukombozi wa pili) katika taifa hili tajiri sana lakini asilimia 90 ya wananchi wake mafukara wa kutupa!. UKAWA tuliweza na kufanikiwa kugundua katika wakati muafaka na kukwepa mtego wa kuwa...
Hatuna budi kupongeza jitihada zinazofanywa na serikali sikivu ya CCM pamoja na wadau wengine kuchimba visima vya maji ili wananchi wapate maji safi husuan sehemu za vijijini. Lakini huwa najisikia kutapika kila nikiona watawala na wapambe wao wa kiume na wa kike wakionesha furaha kubwa sana...
Hii ni Chalinze ya karne ya 21. Unaweza kupata nguvu gani za kuendelea kuwadanganya wananchi wa Chalinze kuwa wakikuchagua utawaletea maji na trekta za kuwalimia mashamba:(
Na kweli wakakupigia vigelegele na kukupa kura! Mimi nimeamsha mikono
Unawaambia wananchi yale ambayo unajua wanataka kusikia (maisha bora kwa kila mbongo, ambulance za bajaj kwa akina mama wajawazito huko maeneo ya milimani) kisha unajiendea Ikulu na kupiga usingizi mnono (yaani mzigo mzito).
Kesho yake wanakuuliza vipi baba yale uliyotuahidi, unasema siyo kila...
Iwe ni Katiba mpya au ya zamani, iwe ni Tanzania au Tanganyika, kwa vyo vyote vile uchaguzi mkuu utafanyika mwakani. Kwa hivyo, ni halali kabisa kuujadili na pia wenye nia kuwa huru kutangaza nia zao. Rais ni mtu muhimu sana kuiletea jamii neema au balaa!
WaTZ ni watu walionyanyasika sana...
Mwana-JF mwenzetu, MPadmire, ametoa maoni yake katika uzi wa MBOWE NA LEMA POPOTE WALIPO WAJISALIMISHE. Kwa maoni yangu hoja yake ni nzito sana kiasi kwamba ninafikiri inastahiki uzi wake pekee. Ninakubaliana naye kwa asilimia 100. Nimependa zaidi hoja kuhusu nafasi ya US na UK katika...
Serikali yarudisha viboko shuleni
Mpoki Bukuku, MWananchi
Serikali imesema itarudisha adhabu ya viboko kwa wanafunzi shuleni ili kujenga nidhamu na kujituma.Akizungumza Dar es Salaam jana wakati akizindua tovuti ya www.shledirect.co.tz inayowezesha wanafunzi kujisomea kwa njia ya mtandao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.