Ciao famiglia, come stai?
Leo tuongelee kidogo kuhusu business diversification. Ulimwengu wa sasa katika ushindani wa biashara, diversification ni key mojawapo ya kukufanya uendelee kukua zaidi na kuwa imara sokoni. Diversification ni pamoja na kuongeza wigo wa biashara kwa kuIntroduce bidhaa...
Hi,
Anyone drop any challenge ambayo startups za Bongo/ Africa kwa ujumla zinaface.
Mimi ntaanza na Tamaa, startups founders wengi wa Africa wana tamaa akishaanzisha kitu akapata hela tu bas hiyo kitu inaenda kufa, hawana visions za mbali.
NB: sio wote.
UTANGULIZI
Kamari imekua kimbilio la vijana wengi ambao kwa namna moja ama nyingine wanategemea ajira kama chanzo cha kujikwamua na umasikini. Kiukweli hali ya ajira ni ngumu duniani na pia tukubaliane kwamba kama vijana tuna mitazamo tofauti nikimaanisha sio kila kijana anaweza ujasiriamali, na...
Habar za muda Great Thinkers, poleni na misukosuko ya hapa na pale.
Naomba kuuliza hili swali kwa wataalamu wa afya au yeyote anaejua. Hivi kichwa kinapouma ni vitu gani ndo huwa vinauma ndan ya kichwa. Mfano ukichomwa na mwiba ile sehem mwiba ulipochoma ndo inauma sas vip kwa kichwa, kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.