Niliwahi kusema siku moja huyu dogo ana kitu mguuni mwake. Kinachomfanya asisogee mbele zaidi anakosa training au wakufunzi muhimu kufanikisha safari yake. Anatimiza kazi yake vizuri ila ana makosa mengi ya kijinga yanayomgharimu yeye na timu yake.
Kevin Nashon ni kipaji haswa anakosa tu proper...
Kushiriki mashindano ya CAF kunatokana na perfomance yako kwenye ligi na sio kubebwa au kuonewa huruma. Kama wanataka ivyo wapambane mechi tatu zilizobaki wafunge magoli mengi. Otherwise unataka wabebwe ili ufurahie nafasi ambayo hawakustahili
Mbona huwa mna comment kama hamna vichwa jamani?
Maurizio Sarri na Sarriball yake wakati anakuja alikua ameshinda kombe gani?
Jama hatuko enzi zile hebu tuwe watulivu. Tuendelee kula mtori nyama tutazikuta chini
Mkuu uko sahihi kabisa. Nadhani katika huu mjadala wa kocha wengi tunaongelea hisia zaidi kuliko uhalisia. Ukiangalia makocha wengi wanaotajwa humu hawana utofauti mkubwa wa kiuchezaji na mfumo anaotumia Poch. Lakini kwakua ni msimu wa kwanza na yametokea haya tuliyoyaona hawana imani nae.
Hawa...
Unashinda msimu mzima kuiponda Chelsea na ubovu huku ukijisifia gari limewaka na unamaliza msimu bila chochote kama Chelsea tu. Kenge maji nyie na mtaendelea kuuota ubingwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.