Search results

  1. K

    Taratibu zipi nifuate kama nimeuziwa bidhaa iliyoisha muda wake (expire)?

    Una uhakika gani kuwa huyo uliyemtuma kaitoa hiyo bidhaa dukani?
  2. K

    Baharia mwenzenu yememkuta msijesema ni uongo

    Bado hajanyooshwa!
  3. K

    TFF na Bodi ya ligi Tanzania hakuna watu wa mpira bali ni kikundi cha watu kinachotafuta mkate wa kila siku

    Taasisi nyingi za Bongo zinaendeshwa na vilaza wakubwa. Uratibu wa tuzo ni upupu mtupu, si muziki, soka wala fasihi.
  4. K

    Mabinti wa Kiislamu kuvaa bukta katika mafunzo JKT ni kwenda kinyume na Katiba

    Umewahi kwenda kwenye mafunzo ya kijeshi?
  5. K

    Mabinti wa Kiislamu kuvaa bukta katika mafunzo JKT ni kwenda kinyume na Katiba

    Naam, jamaa hawana common sense kabisa.
  6. K

    Mabinti wa Kiislamu kuvaa bukta katika mafunzo JKT ni kwenda kinyume na Katiba

    Kila mahali walipo hawa lazima pakose utulivu. Huu utulivu tulionao TZ ni kwa sababu hatuwadekezi, lakini wana vichokochoko vya hapa na pale. Wapuuzi!
  7. K

    Mabinti wa Kiislamu kuvaa bukta katika mafunzo JKT ni kwenda kinyume na Katiba

    Nani kakwambia mimi ni Mkristo? Na huoni aibu kusema dini yako haina uvumilivu? Mko sawa ninyi?
  8. K

    Mabinti wa Kiislamu kuvaa bukta katika mafunzo JKT ni kwenda kinyume na Katiba

    Waislamu muwe mnajielimisha kidogo, mnaleta uzito kwenye jamii yenu shauri ya 'ujinga' wenu wa rejareja.
  9. K

    Tetesi: Nimetonywa, kuwa anayefuata nyayo za marehemu analiwa kichwa kwa alihokifanya Longido

    Utasubiri sana. Aliyemteua anamfahamu kuwa ni mtu wa aina hiyo, laiti angekuwa anachukia matendo ya hivyo, asingemteua kabisa.
  10. K

    Wakaazi wa Dar na vitongoji vyake, Arusha si mkoani ni Makao Makuu ya EAC

    Ulimwambia hivyo ili asikuagize vitu, unajua fika ungemwambia uko Dar angeleta mambo mengi. Uliposema mkoani akajua uko Mwanza au Tanga, akakupotezea.
  11. K

    Wakaazi wa Dar na vitongoji vyake, Arusha si mkoani ni Makao Makuu ya EAC

    Hayo makao makuu hayapafanyi pasiwe mkoani, Chief. Hapo ni mkoani tu, ndiyo maana mkifika Dar mnashushwa Mbezi.
  12. K

    Lissu akiwa Rais atavunja muungano halafu atawafukuza Wazanzibari wote pamoja na Bakhresa?

    Jamaa anataka muungano usivunjike kisa Bakhresa kawekeza. 😀
  13. K

    Lissu akiwa Rais atavunja muungano halafu atawafukuza Wazanzibari wote pamoja na Bakhresa?

    Mbona Dangote ana viwanda Tanzania, kwani TZ ina muungano na Naija?
  14. K

    Wakaazi wa Dar na vitongoji vyake, Arusha si mkoani ni Makao Makuu ya EAC

    Arusha ni mkoani kama ilivyo Songwe na Katavi. Hata ninyi mnapotaja sehemu nyingine huwa mnapaita mikoani, lakini Dar mnapaita Dar kama palivyo.
  15. K

    Kwanini wazaramo hawaumizwi kimapenzi?

    Hao hawana nguvu za mwili tu, lakini ni walozi wazuri. Waganga wa mapenzi wamejaa kwao. Wangekuwa na misuli kama watu wa mikoani, wao ndiyo wangeongoza kwa mauaji. 😀
  16. K

    Taifa letu lilianzishwa kwa misingi ya dini

    Kichwa cha habari hakiendani na habari yenyewe. Haya ndiyo matatizo ya kushinda madrasa.
Back
Top Bottom