Habari wanajamvi wote wa Jf?? poleni kwa majukumu yenu ya kila siku nina jambo/tatizoo napenda kushare n kwa yeyote mwenye ujuzi nalo tunaomba msaada
kwa ufupi nina tatizo la ngozi (upele/fungus) kwenye mwili wangu especially on hand fingers(see attachment),
Hili ni tatizo la mda mrefu kwangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.