Search results

  1. Labile

    Ushuhuda wa kilimo cha tikiti maji

    Hints zako nimeziona na kuzipokea, nikishavuna na nitajipanga na kurudi even stronger
  2. Labile

    Ushuhuda wa kilimo cha tikiti maji

    Nimeshajua ilikofanyika makosa, nitayasahihisha, hata mimi pesa zangu zinaniuma ila sababu iliyonifanya nianze ni kubwa kuliko uoga utakaonitisha niache. I have big goals
  3. Labile

    Ushuhuda wa kilimo cha tikiti maji

    Mwaka huu nimelima tikiti, I provided everything needed ila bado mazao hayanenepi, sababu kubwa iliyoni cost ni USIMAMIZI MBOVU. Mimi ni mwajiriwa kwaio sikuwa na muda wa kutembelea shamba katikati ya wiki, nilienda siku 2 tu kwa wiki, baada ya 2 months nikampeleka afisa kilimo anionee shida...
  4. Labile

    Kilimo cha mahindi hekari 10

    Shukrani sana, kuhusu consultation fee subiri kidogo Kuna ishu nasikilizia[emoji28]
  5. Labile

    Kilimo cha mahindi hekari 10

    Sawa, nimeielewa point yako, shukrani sana
  6. Labile

    Kilimo cha mahindi hekari 10

    Kulingana na gharama za sasa za mbegu na mbolea, naomba analyst mmoja ambae ana uzoefu shambani anisaidie simple estimation ya hizi: A. Je, mbolea ninazotakiwa kutumia ni zipi na kwa kiasi gani? B. Mbegu unashauri ipi na kwa hekari 10 nitatumia kilo ngapi? (Nalima wilaya ya Serengeti mara) C...
  7. Labile

    Nimeamua Kulima kwa mara ya Pili kilimo cha mahindi

    Hiyo 5m ndio ilisimamia operation ya shamba kwa kipindi chote? Haikupungua kwa hizo hekari 50.
  8. Labile

    Biashara ya vitambaa na vitenge Kanda ya Ziwa

    Hii ninayosikia katoro kutokea Uganda?
  9. Labile

    Biashara ya vitambaa na vitenge Kanda ya Ziwa

    Wadau tusaidiane, Mimi Nina 5m nataka kuanzisha biashara ya kuuza vitenge vya jumla na rejareja. Je, ni wapi point ya kuzichukulia. NB: Niko Kanda ya ziwa.
  10. Labile

    Katoro

    Nataka za 500k to 1000k
  11. Labile

    Katoro

    Thanks
  12. Labile

    Katoro

    Habari ya Leo. Kwa wale wanaoishi au kupajua katoro, ni fursa gani inaweza kumsaidia mtu kutoboa akiwekeza 500k. Natangulixa shukurani
  13. Labile

    Ulifikishaje Milioni 10 ya kwanza?

    Kama unapata salary au return ya 3M kwa mwezi, fungua fixed account ya miaka miwili NMB weka 1M kila mwezi bila kupepesa jicho, 2M weka katika Matumizi ya chakula na ada za watoto kama unao, hakikisha unapunguza Matumizi yasiyo ya ulazima kama partying daily Ili kufikia malengo fulani inahutaji...
  14. Labile

    Athari za mafuta ya kula yaliyoharibika (rancidity)

    Kemikali zipi hutokana na rancidity?
  15. Labile

    Wataalamu wa mitumba Kanda ya ziwa pita hapa

    Habari zenu mabibi na mabwana. Naombeni mnisaidie ni wapi pale Mwanza nitapata mtumba grade A, na nitatambua vipi ni grade A na bei zake kwa shati, tisheti na suruali? Natanguliza shukrani.
  16. Labile

    Urembo wa huyu dada umeniponza, naombeni ushauri

    Usirudie kupima HIV kwa macho, macho yako sio scanner.
  17. Labile

    Urembo wa huyu dada umeniponza, naombeni ushauri

    Muwasho na kukojoa kwa shida unatokana na maambukizi ya magonjwa ya zinaa(STI's) nenda kapime, pia baada ya wiki tatu tangu ukutane nae kapime HIV, HIV huanza kwa maumivu ya kichwa, vimbe kwenye groin na tonsils, jasho usiku, kukohoa, n.k, NAKUOMBEA UWE SALAMA ILI UKAWE BALOZI WA MATUMIZI YA...
  18. Labile

    Kwa wanaoishi au wenye uzoefu wa kibiashara pale Bariadi

    Hapana, kuwa na sehemu maalumu, wateja wanifate
Back
Top Bottom