Wewe unanunua passo au vitz ya milion 5 mbwembwe nyingii...unaweka alarm...funguo unaficha mbalii...hutak mtu aiguse guse ...
Ila cha ajabu sasa wabongo wengi wananunua gari la milion 40 anampa teja amiliki tena muda wote hadi lizeeeke.....
Najiuliza gari ni kitu kinchosaminiwa sana na mtu...
Habari wadau,
Kuna jamaa yangu kanituma hapa dsm nimuulizie na finaly nimnunulia boss tv ukubwa wa nchi 50 sasa bei zake zimekuwa hazieleweki kitu ambacho kinafanya nisite kumnunulia nisije mnunulia kitu ambacho kumbe kina matatizo yalojificha halafu heshima yetu ikawa katika wakat mgumu...
"HABARINI WANDUGU,
Nimekuwa kwenye hii biashara ya nguo za mtumba kwa miaka mitatu sasa, ila changamoto yake kubwa muda wooote huo ilikuwa kupata mizigo mibovu yani nguo mbaya mbayaaaa tu hapa bongo, but sikukuta tamaa nikakomaa kupitia hiyo changamoto sasa nimeitatua kabisaaaaa, napata nguo...
Habari za majukumu jameni,
miez miwili nilifanya application ya masters chuo fulani, sasa week juzi nilipigiwa simu nimechaguliwa kujiunga na masomo....hahaaa cha ajabu naambiwa nisome online master studies....kikubwa zaidi naambiwa nitapewa asilimia 75 ya scholarship...ila inabidi nilipie 25...
habari zenu wakuu.....
ni leo tu nikikuwa nawaza kwamba haya mambo ya kuibiwa hela nyingi yanaweza zuiliwa na vyama na taasisi mbalimbali....tayari tucta wamejitosa....wapi chama cha usafiri iwe hakuna kusafiri siku kadhaa......taja na vyama vingine unavyovijua vishiriki kurudisha hii hela...
Habari Wakuu,
Nimeshuhudia shule nyingi mkiwa o level na vyuo vikuu usiriusness kwenye dini upo chini, ila mtu akifika form five na six (A' level) dini inashika hatamu hasa shule za bording yaani alfajili na mapema saa kumi usiku au kumi na moja unaamushwa na nyimbo za pambio za kuabudu toka...
hbr jaman....
kuna sehem nategemea kupata 6m sasa nilitaka kuweka kwenye broilers sasa mahesab mbona yanaleta lost
kwa kuku
mmoja
Wiki ya 1 15g*kuku 1000=15,000 sawa na kilo 15kwa siku na sawa kilo 105 kwa wiki na ni sawa na mifuko 2 ya chakula (2bags@50,000/ )
=100,000
Wiki ya 2 25g...
wasalaam jaman..
leo sina mengi...tupo vijana kadhaa toka wahitumu wa SUA tunaptoject yetu well planned tulihitaj kumuona/ kumfikishia rais wetu hopefulluly atakuwa msaada wetu as long kuna hotuba ake ya mwaka 2006 aliwah gusia hili wazo letu
..mwenye contact zake especialy email au njia...
Sakata la Mume wa mwimbaji FLORA MBASHA kumbaka shemeji yake mapya yaibuka Mume aelezea sababu za kufanya UKATILI huo..! Posted by Gumzo on May 29, 2014 JESHI la Polisi Mkoa wa Ilala jijini Dar es Salaam linamsaka kwa udi na uvumba Emmanuel Mbasha (pichani) ambaye ni mume wa mwimbaji maarufu wa...
Helow wakuu, nipo kwenye mchakato wa kufuga ila lengo langu ni sawa na research yan nataka ndani ya mwaka mmoja nione kama nitafikisha kuku elfu moja kutokana na directory za humu plus za shuleni, tayari nimesha andaa banda kubwa tu lina sebule (public) na chumba hatchery, kuna sehemu nimejenga...
Jaman kwa yule anaetaka kutembelea usafiri au kufanyia biashara nauza gari yangu aina ya funcargo, ipo katika hali nzuri sana, nauza sababu ninazo mbili, gari kwa sasa ipo iringa.
Wakuu heshima mbele, nimenunua gar yangu aina ya nadia engine yake ni 3s nilikwepa kununua 4d baada ya kuambiwa zinasumbua.
TATIZO LAKE
hii gari haina muda mrefu toka niitoe bandarini just miez 2 tu, one day nilikuwa njian toka moro kwenda tanga, nilipovuka mizan ya chalinze gar ilikuwa speed...
Jaman msaada, nina kaduka kangu ila naweka nguo za mtumba grade " A" nahitaj kupata mabaro ya aina zifuatazo za nguo.
1. Gaun ndefu na fupi,
2.sket fupi na ndefu
3. Skafu
4.mitandio
5. Simple coats
6. Makoti marefu.
N.k
Wadau respect mbele....! Naomba kwa alie na taarifa za upatikanaji wa kiwanja cha kujenga morogoro hasa maeneo ya kihonda, nane nane, mikese, na bigwa....najua nikianza kuzunguka mwenyewe nitapata taarifa, ila kwa sasa nimebanana naomba nianzie hapa.
Jaman nadhan wengi tunasafiri hapa na pale, kwa utafiti wangu nimegundua msichana akipanda kwenye gari hupenda akute karibu na seat yake kuna mvulana, vivo hivyo kwa mvulana.......na kama gari WATu wanakaaa bila kufuata seat ww kuwa mchunguzi utagundua mtu anatoa macho gari nzima akitafuta...
helow waungwana natafuta radio bomba la kula Mziki hom, iwe angalau na vikorombwezo vya kutosha yan cd, USB, tap etc... Pia iwe na spika kubwa zenye ujazo wa mziki wa adabu....mwenye NAYO anipe pm nipo mtongani dsm kwa sasa
Wakuu nataka kuanzisha kabiashara ka mixture ya nguo mtumba na special....je ni wapi nitapata robota grade za juu na bei zake, nahitaji robota la sketi, gauni, vipedo, skin jeans, vitop na blauz...pia hata za kiume, pia kwa anaefahamu sehemu nzuri ya kupata mzigo wa aina hyo dsm anisaidie....welcome
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.