Search results

  1. kekule benzene

    WhatsApp wamekuwaje?

    Whatsapp business ni official pia, isipokuwa imetengenezwa hasa kwa ajili ya wafanyabiashara hapo yoyote anaweza kutumia
  2. kekule benzene

    Kibu Denis Kuikamua Simba Milioni 760

    Mbona wageni wanalipwa zaidi ya hivyo?
  3. kekule benzene

    Nimeshushwa cheo hatimae nimewekwa friend zone, neno la faraja kwanu

    Watu mnampa pole wakati yeye ndiye aliyeanza dharau Mwanamke kafanya kitu sahihi
  4. kekule benzene

    Mwalimu ajinyonga huko Moshi kisa riba kubwa ya mkopo

    Inawezekana kuchukua mikopo mingi kama hivyo? Hadi Platinum inaonekana kwenye salary slip?
  5. kekule benzene

    Ushauri kuoa mwanamke aliyekuzidi umri

    Mapenzi hayana formula, Unaweza ukamuoa uliyemzidi miaka 5 akawa pasua kichwa, hana heshima, mgegedo hatoi nk pia unaweza ukaoa aliyekuzidi miaka 5 akawa yupo vizuri na ukaenjoy Kinyume pia unawezana Kikubwa, make sure unaoa mtu sahihi na sio umri au kingime
  6. kekule benzene

    Urafiki wa Azam na Simba unaua soka letu

    Hata kama ni ushabiki ila tuwe wakweli Azam leo mechi alikuwa anaihitaji ila hakuwa na uwezo Hata refa alikuwa upande wao inaonekana alikula mlungula Mtani leo kacheza kawaida tu ila matokeo yamekuwa upande wake Sometimes hizi mechi zinaendeshwa na ushirikina zaidi
  7. kekule benzene

    Mpaka leo hii sijui kwanini mchezaji wa mpira nchini Tanzania analipwa sh milioni 5 halafu mwalimu wa shule ya Msingi analipwa sh. Laki 3

    Ndio unazalisha hivyo Mbona wadhamini hawajaenda kudhamini kwenye Elimu wakaenda kwenye mpira?
  8. kekule benzene

    Mpaka leo hii sijui kwanini mchezaji wa mpira nchini Tanzania analipwa sh milioni 5 halafu mwalimu wa shule ya Msingi analipwa sh. Laki 3

    Productivity nimeweka kwenye of mabano ni pesa Sio ujuzi wala Elimu Mpira unazalisha sana kupitia wafanyabiashara na wawekezaji
  9. kekule benzene

    Mpaka leo hii sijui kwanini mchezaji wa mpira nchini Tanzania analipwa sh milioni 5 halafu mwalimu wa shule ya Msingi analipwa sh. Laki 3

    Anayekaribia kustaafu, tena huyo itakuwa ana degree Mwalimu wa degree anayeanza kazi anakula kati ya 720k hadi 750k
  10. kekule benzene

    Mpaka leo hii sijui kwanini mchezaji wa mpira nchini Tanzania analipwa sh milioni 5 halafu mwalimu wa shule ya Msingi analipwa sh. Laki 3

    Sio kweli, serikali inaweza kupanga kiwango cha chini tu ila haiwezi kulimit Hospitali binafsi ikiamua kumuajiri mtu ikamlila 50M kwa mwezi , serikali haiwezi kukataa maana haiwahusu Hivyohivyo kwenye mpira
  11. kekule benzene

    Mpaka leo hii sijui kwanini mchezaji wa mpira nchini Tanzania analipwa sh milioni 5 halafu mwalimu wa shule ya Msingi analipwa sh. Laki 3

    Kuna kitabu niliwahi kusoma (SELL LIKE CRAZY) Kuna sehemu mwandishi amesema , " THERE IS DIFFERENCE BETWEEN BEING BUSY AND BEING PRODUCTIVE" Walimu na madaktari wapo busy ila sio productive ( pesa) Mpira ni biashara productive (inazalisha pesa nyingi) Siku zote boss huwa haoni tabu kutoa...
  12. kekule benzene

    Mpaka leo hii sijui kwanini mchezaji wa mpira nchini Tanzania analipwa sh milioni 5 halafu mwalimu wa shule ya Msingi analipwa sh. Laki 3

    ili kazi iwe na mshahara hutegemea mambo mengi 1. Unazalisha au huzalishi Ukiwa mzalishaji automatic malipo huwa makubwa 2. Umeajiriwa na nani? Mwalimu anaajiriwa na serikali ambayo yenyewe pia ina njaa ila mchezaji anaajiriwa na matajiri 3. Unafanya kazi na nani? Mwalimu anafanya kazi na...
  13. kekule benzene

    Mbunge Getere: Boom lifutwe, wanafunzi wanatumia kulewea

    Wao mbona wanajiongezea pesa na wanafurahi tu kimya kimya Halafu kaboom chenyewe ni mkopo, yaani hadi mkopo wanatamani mtu asipate
  14. kekule benzene

    MEI MOSI: Unatoka home kwenda kusikiliza ahadi ya kuondolewa kikokotoo na nyongeza ya mishahara, badala yake unakutatana na WADUDU..!!

    Hivi mnawachukia sana walimu? Maana kosa la watu wachache basi kila siku wanalaumiwa walimu wote Halafu kila siku mnaambiwa, wale ni wafia chama wa CCM na propaganda ile inatengenezwa from the top ili ionekane watu wanakubali chama na mwenyekiti Unakuta hela za kuchangia wamepewa na wao...
  15. kekule benzene

    Wakuu naomba mnieleweshe concept ya Mungu katika ukristo

    Acha ujinga wa kutumia maandiko ya uongo, Hakuna andiko la hivyo katika vitabu vya kiislamu. Halafu haiwezekani mtume(saw) aseme hivyo maana msingi makuu wa uislamu ni kumuambudu mungu mmoja tu bila ya kumshirikisha na yoyote
  16. kekule benzene

    Wakuu naomba mnieleweshe concept ya Mungu katika ukristo

    Ni upumbavu wa SGR kumkataa Mungu halafu ukiulizwa mbingj na ardhi kaziumba nani? Unaanza kuleta theories ambazo hata chizi hawezi kukubali
  17. kekule benzene

    Wakuu naomba mnieleweshe concept ya Mungu katika ukristo

    Swala la kuwepo kwa mungu ni swala la lenye yakini ya kimaumbile Mtu yoyote akipatwa na shida kubwa mfano, ugonjwa serious lazima tu akumbuke uwepo wa mungu, tena mtu anajiapia nikipona nitakesha kwenye Ibada ila akipona anaanza kuongea ufala kama wewe. Afya njema tu inakusahaulisha.
  18. kekule benzene

    Wakuu naomba mnieleweshe concept ya Mungu katika ukristo

    Tuwaachie mada yao, sisi tupite kimyakimya
  19. kekule benzene

    Nashindwa kufika mshindo

    Hauna kisukari?
Back
Top Bottom