Tanzania
Tanzania giving support to Al shaabab WTF is this , Mbona wanatuchafua jina . Hii itakuwa propaganda ya nchi fulani fulani.
Meanwhile social media imelipuka huko Kenya baada ya mtu anayesadikiwa kuwa ni gaidi kujichanganya na raia wa kawaida na kufanikiwa kutoroka.
Hilo ndio la msingi sio ujinga wanaofikiria eti nyimbo za nje zibaniwe hawajui watu watatafuta kwa njia yeyote good content hata kama wakibana. Wengine wanalalamika eti hamna msanii anaelepiwa sawa na Diamond hapo kenya sasa sijui wanahisi Diamond aliamka tu akawa analipwa hiyo hela , wapige...
Malaya ni wengi kwa sasa na wengi wameshakuwa victim hawana la kufanya wameowaoa kwa kuvutiwa na muonekano tu . Waacha waisome namba wana share mke na hadi na vitoto vya chuo , waendesha bodaboda etc.
Ukishamvulia mtu nguo hata kama umemzidi miaka 20 swala la heshima halipo, ni swala la kuchagua tu heshima au kulidhisha tamaa za kimwili. Utakalochagua ukubali kila linalokuja nalo , binafsi niliwahi shuhudia chuoni mhadhiri watoto wa kike wakimdharau sana baada ya kudadisi kidogo nikagundua...
Your a fool sorry if ur offended but what you revealed means you deserve this description. Yaani unatuletea data za 1945 kipindi ambapo nchi zote zilikuwa hazipo huru!
Kenya hawajaanza wizi Leo juzi kati raisi wao ali confirm vijana wengi wa Kenya ni wezi by nature. WAMERE: Uhuru's comments on youth insensitive mockery
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.