Search results

  1. C

    Viambatanisho katika mfumo wa uhamisho (ess.utumishi.go.tz)

    Mkuu wa taasisi si ndio ACOUNTING OFFICER? maana kabla ya hiyo ALLOWED Ilisoma status ACOUNTING OFFICER
  2. C

    Tueleweshane kuhusu uhamisho ESS

    Mimi status inasoma ALLOWED sijui kinachofuata hapo maana kabla ya hapo ilisoma ACOUNTING OFFICER
  3. C

    Viambatanisho katika mfumo wa uhamisho (ess.utumishi.go.tz)

    Bado sijapata barua yaani huko utumishi kuna ukiritimba aisee
  4. C

    Viambatanisho katika mfumo wa uhamisho (ess.utumishi.go.tz)

    Kwa mwenye kujua huu mfumo, ombi langu la uhamisho limefikia hapo sasa nini kinafuata baada ya hiyo status maana ilibadilika kwa hatua kama mbili hadi kufika hapo
  5. C

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Alhamdulillah namimi leo nimetokea kwenye mkeka, msikate tamaa database inafanya kazi.
  6. C

    Wachezaji wetu wazawa wanakwama wapi? Kila tetesi ya kutakiwa na timu za nje ni wageni tu? Why siyo wazawa?

    Wachezaji wazawa ndio hao akina Fei, unadhani kuna timu kubwa zenye mafanikio na zinazoendeshwa kwa weledi zitahitaji wachezaji aina ya Fei ambao wanavunja mikataba kihuni bila kufuata utaratibu? Hawa wataendelee kutumika humuhumu tu.
  7. C

    Mwenye ajira na asiye na ajira kwenye zoezi la Sensa 2022 - itumike haki au busara?

    Wangeonesha mfano kwa kamisaa wa sensa mwenyewe awe mtu asiye na ajira sasa nashangaa mtu amekuwa spika wa bunge kwa miaka 10 lakini ndio kamisaa wa sensa
  8. C

    Changamoto za mfumo wa maombi ya ajira za Elimu na Afya 2022

    Mfumo umerudi mida hii, nimeingia umekubali
  9. C

    Changamoto za mfumo wa maombi ya ajira za Elimu na Afya 2022

    Msaada jamani najaribu kufungua akaunt kwenye hatua ya mwanzo kabisa nimejaza taarifa binafsi kisha inaniandikia "failed to verify login credentials"
  10. C

    TAMISEMI rasmi yaamua kuua elimu yetu Darasa 1 mpaka kidato cha 6? Nini kazi ya Wizara ya Elimu,OR na Necta?

    Mbaya zaidi huo muongozo haukuzingatia dharura zainazoweza kufanya mwalimu asifundishe, mf.mwalim kuugua, michezo ya umiseta na umitashumta, na mambo mengine ya kitaifa yanayoweza kuzuia ufundishaji. Nina uhakika aliyeandaa muongozo hakuwahi kuwa mwalimu
  11. C

    Wife anataka kunigeuza sex machine

    Mpelekee moto lasivyo ipo siku utakuja kulalamika hapa kuwa analiwa nnje.
  12. C

    CHADEMA: Tuko tayari kukutana na Rais Samia kwa ajili ya maridhiano

    Maridhiano ya nini? Wakati makamu mwenyekiti wenu alipigiwa simu na Rais akamjibu yupo busy.
  13. C

    Walimu wa Sekondari kusimamia mitihani ya Shule za msingi ni udhalilishaji wa taaluma nchini

    Napongeza uamuzi wa NECTA, hii itakomesha mianya ya udanganyifu haswa kwa primary, kwa miaka mingi walimu wa primary wamekua wakihusika kwenye udanganyifu mitihani ya darasa la Saba hivyo kupeleka sekondari wanafunzi wasiojua kusoma na kuandika.
  14. C

    AZAM mnapoteza kuwa na Balozi kama Manara. Hajui Ethics za Biashara

    Mwache haji ajitafutie riziki yake, hao waliompa mkataba walishajua itakua hivi na wakampa mkataba, tuache roho za husda.
  15. C

    Songwe: Askari waliovuka mpaka kuingia Malawi kinyume cha sheria wafukuzwa kazi

    Hawawezi kusoma lugha iliyotumika "English" hawaielewi
Back
Top Bottom