Search results

  1. Lello199

    Natafuta mashine ya kukamua miwa

    Habari wakuu, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nahitaji hii machine, iwe halali sio ya wizi, iwe ya kutumia umeme au mafuta. Bajeti yangu ni 700K. kwa mwenye nayo karibu tufanye biashara. Nipo Tabata.
  2. Lello199

    Wapi ninaweza kupata machine ya kukunia nazi?

    Habari wakuu! Naomba kujulishwa mahali naweza kupata mashine za kukwangua nazi kama hii inayoonekana kwenye picha kwa hapa Dar es salaam na bei zake. Natanguliza shukrani kwenu!
  3. Lello199

    Kwa mwenye ufahamu kuhusu kozi ya Agricultural Engineering and Mechanization

    Wakuu tafadhali naombeni kama kuna mtu yeyote mwenye ufahamu kuhusiana na kozi hii inayotolewa udsm anijulishe natanguliza shukrani zangu kwenu.
Back
Top Bottom